DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Wema ana upepo mkuuWEMA JE
Kila alieogonga katoboa[emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wema ana upepo mkuuWEMA JE
Ke wenye nyota za pesa hawafaidiki nazo, wanatumika Kama madaraja wafaidike wengine. Check walopita kwa wemaCha kushangaza wanadanga lakini mwisho wa siku wanakuwa masikini viuongo vimechakazwa vya kutosha. Udangaji ungekuwa na faida Wema sepetu angekuwa tajiri . Ushauri tu Kwa mnaouza hivyo viungo wekezeni kwenye viwanja na ujenzi wa nyumba udangaji una mwisho.
Mlango wa naneView attachment 2681797
Kajala alipoanza mahusiano na Pfunk Majani, Pfunk aliyumba sana akapigwa bao na kina masterJ, Mikamwamba na wengine wengi, wakongwe wenzangu mnawakumbuka.
Kajala akafunga ndoa, mume akafungwa magereza, yeye aliponea baada ya wema kumlipia fedha alizopewa na mpenzi wake CK.
Kwa ulaku wake, Kajala akamwibia Wema yule bwana, kilichompata bwana yule baada ya kudate Kajala alifukuzwa kazi serikalini na kupandishwa mahakaman kwa ufisadi na uhujumu, alifungwa na kufilisika kabisa. Sasa hivi anachoma mishkaki.
Harmo alipotoka WCB alipata deals nyingi na endorsements, lakini alipolianzisha na Kajala makampuni hayakuongeza mikataba, wasanii hadi machawa wa kondegang waliachana nae. Hilo ni gundu.
Rayvan alipodate Paula wa Kajala alipotea kwenye Raman had akamrudia mkewe, hadi Sasa hajakaa sawa bado kibiashara.
Nikimtazama Marioo tangu aanzane na Paula wa Kajala, umaarufu unapungua.
Je, hili sio gundu lililopindukia?
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Mi hua nashangaa sana watu na hela zao unawakuta wanakula vikongwe hao kina kajala, wema sijui uwoya watu wameshatumika tangu miaka ya 90 hadi leo 😀. Wakati kuna vitoto vya chuo miaka 21 - 24 viko hot balaa. Sijui ni udomo zege au ni nini mi hua sielewi kabisa..Hao wote sio. Bora kujiokotea watoto wa chuo
Mi ni "me" rijali kabisaa, nimeletwa hii thread kuwaokoa vijana wa sasaWanawake mnafuatiliana, mnajuana vizuri.
Wale wajukuu wa Bakhresa huwa Wana point tu wanawake warembo Kisha wanaletewa na machawa wao.Huyo hana shida huyo wajukuu wa bakhresa wamemla sana tu.
Ila biashara zinaenda vyema kabisa [emoji1672]
Tunaita jicho la tatu ambalo wanadam wengi hawanalo.View attachment 2681797
Kajala alipoanza mahusiano na Pfunk Majani, Pfunk aliyumba sana akapigwa bao na kina masterJ, Mikamwamba na wengine wengi, wakongwe wenzangu mnawakumbuka.
Kajala akafunga ndoa, mume akafungwa magereza, yeye aliponea baada ya wema kumlipia fedha alizopewa na mpenzi wake CK.
Kwa ulaku wake, Kajala akamwibia Wema yule bwana, kilichompata bwana yule baada ya kudate Kajala alifukuzwa kazi serikalini na kupandishwa mahakaman kwa ufisadi na uhujumu, alifungwa na kufilisika kabisa. Sasa hivi anachoma mishkaki.
Harmo alipotoka WCB alipata deals nyingi na endorsements, lakini alipolianzisha na Kajala makampuni hayakuongeza mikataba, wasanii hadi machawa wa kondegang waliachana nae. Hilo ni gundu.
Rayvan alipodate Paula wa Kajala alipotea kwenye Raman had akamrudia mkewe, hadi Sasa hajakaa sawa bado kibiashara.
Nikimtazama Marioo tangu aanzane na Paula wa Kajala, umaarufu unapungua.
Je, hili sio gundu lililopindukia?
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Exactly 👍👍👍Wale wajukuu wa Bakhresa huwa Wana point tu wanawake warembo Kisha wanaletewa na machawa wao.
Pesa mwanaharamu.
Aisee kuna ukweli hapa.Wema ana upepo mkuu
Kila alieogonga katoboa[emoji28]
Mama yake alipambana sana yule mama na pia aliuza sana vitu vyake kwaajili ya ile kaziFaraji alitoka...yuko tbt
Harusi yao hata mm nlihudhuria
Ilifanyika police officers merse
Kiufupi kajala ni mwanamke wa kutumia tu starehe kwake mbele
Ova
Na hili jicho la tatu wewe umebarikiwa sana mkuuTunaita jicho la tatu ambalo wanadam wengi hawanalo.
Naona kama ume-mind hivi. Anyway, mi nilikuwa nachangamsha genge tu.Sawa wife,umeshapika?
Naona unanijua vizuri.
Na mimi nimeendeleza kuchangamsha genge pale ulipoishia wewe.Naona kama ume-mind hivi. Anyway, mi nilikuwa nachangamsha genge tu.
Kajala ni muigizaji
MLANGO WA 8!!View attachment 2681797
Kajala alipoanza mahusiano na Pfunk Majani, Pfunk aliyumba sana akapigwa bao na kina masterJ, Mikamwamba na wengine wengi, wakongwe wenzangu mnawakumbuka.
Kajala akafunga ndoa, mume akafungwa magereza, yeye aliponea baada ya wema kumlipia fedha alizopewa na mpenzi wake CK.
Kwa ulaku wake, Kajala akamwibia Wema yule bwana, kilichompata bwana yule baada ya kudate Kajala alifukuzwa kazi serikalini na kupandishwa mahakaman kwa ufisadi na uhujumu, alifungwa na kufilisika kabisa. Sasa hivi anachoma mishkaki.
Harmo alipotoka WCB alipata deals nyingi na endorsements, lakini alipolianzisha na Kajala makampuni hayakuongeza mikataba, wasanii hadi machawa wa kondegang waliachana nae. Hilo ni gundu.
Rayvan alipodate Paula wa Kajala alipotea kwenye Raman had akamrudia mkewe, hadi Sasa hajakaa sawa bado kibiashara.
Nikimtazama Marioo tangu aanzane na Paula wa Kajala, umaarufu unapungua.
Je, hili sio gundu lililopindukia?
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app