National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Goja nikajaribu na mie nione kama kweli au lah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tulia basi mkuuu 😅😅😅😅.. mbona nyama unanunuaWana laana aseee. Kubwa sana tu.
Na sio wao tu wadangaji wengi wanalaana. Kuweni makini nyie wanunuaji. 😎
chumaaaaaaaaaaaaaaaaaaaView attachment 2681797
Kajala alipoanza mahusiano na Pfunk Majani, Pfunk aliyumba sana akapigwa bao na kina masterJ, Mikamwamba na wengine wengi, wakongwe wenzangu mnawakumbuka.
Kajala akafunga ndoa, mume akafungwa magereza, yeye aliponea baada ya wema kumlipia fedha alizopewa na mpenzi wake CK.
Kwa ulaku wake, Kajala akamwibia Wema yule bwana, kilichompata bwana yule baada ya kudate Kajala alifukuzwa kazi serikalini na kupandishwa mahakaman kwa ufisadi na uhujumu, alifungwa na kufilisika kabisa. Sasa hivi anachoma mishkaki.
Harmo alipotoka WCB alipata deals nyingi na endorsements, lakini alipolianzisha na Kajala makampuni hayakuongeza mikataba, wasanii hadi machawa wa kondegang waliachana nae. Hilo ni gundu.
Rayvan alipodate Paula wa Kajala alipotea kwenye Raman had akamrudia mkewe, hadi Sasa hajakaa sawa bado kibiashara.
Nikimtazama Marioo tangu aanzane na Paula wa Kajala, umaarufu unapungua.
Je, hili sio gundu lililopindukia?
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Bro unataka kumpeleka kaburini sio.Goja nikajaribu na mie nione kama kweli au lah
😅😅😅😅 eeeh! ili aondoke na majanga take . wasela mponeBro unataka kumpeleka kaburini sio.
Duuh utakuwa umefanya la maana kusaidia wanaume wengine wasipate ma laana yao
Mi nimeacha nina miezi 10 sasa. Nipo chaputa mkuutulia basi mkuuu 😅😅😅😅.. mbona nyama unanunua
Fanya hivyo asee. Anaua vipaji vya vijana wadogo huyo.😅😅😅😅 eeeh! ili aondoke na majanga take . wasela mpone
😳😳😳 chaputa ndio baraaaaa zaidi.. tunza tu manii zako mkuu hadi utapo pata wife wako.. Punyeto, Kutomber malaya ni risk sana unaweza haribu maisha yako kwa kitombo kimoja tu..Mi nimeacha nina miezi 10 sasa. Nipo chaputa mkuu
Huyo hana shida huyo wajukuu wa bakhresa wamemla sana tu.tuambiane ukweli jaman vipi irene tusije filisika kwa kutosikia
Sema anaonekana hata sio mtamu pia 😅😅Fanya hivyo asee. Anaua vipaji vya vijana wadogo huyo.
Hii baridi ww unaionaje 🥶🥶🥶🥶🥶🥶😳😳😳 chaputa ndio baraaaaa zaidi.. tunza tu manii zako mkuu hadi utapo pata wife wako.. Punyeto, Kutomber malaya ni risk sana unaweza haribu maisha yako kwa kitombo kimoja tu..
Kipaji si umalayaKadashian curse = kajalasian curse
- wote wana maumbo mazuri
- wote wana tz show
- wote hawana vipaji vinavyofahamika
bora kushate mapepo ya wajukuu wa bakharesa eeh 😅😅Huyo hana shida huyo wajukuu wa bakhresa wamemla sana tu.
Ila biashara zinaenda vyema kabisa 🤚
kwani hakuna mashuka duvet 😒😒.. funga madirisha jifunikeHii baridi ww unaionaje 🥶🥶🥶🥶🥶🥶
Ww wasemaje umeona twerk contest hiyo. 🤣🤣🤣🤣Sema anaonekana hata sio mtamu pia 😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Aseeebora kushate mapepo ya wajukuu wa bakharesa eeh 😅😅
hiloo aloo neno mkuuuuuu thx unaweza gusa mzigo asbh una bawasili ya ajabu unashangaa imetoka wapi lohHuyo hana shida huyo wajukuu wa bakhresa wamemla sana tu.
Ila biashara zinaenda vyema kabisa 🤚
Acha nijaribu. Brokwani hakuna mashuka duvet 😒😒.. funga madirisha jifunike