Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Anatakiwa ampambanie sasa ili atoke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatakiwa ampambanie sasa ili atoke
Sio ki mchezo mchezo mkuu.Anatakiwa ampambanie sasa ili atoke
Sasa mpaka Leo Hana hata nyumba na uzee ushaingia.Faraji alitoka...yuko tbt
Harusi yao hata mm nlihudhuria
Ilifanyika police officers merse
Kiufupi kajala ni mwanamke wa kutumia tu starehe kwake mbele
Ova
Ata jitihada zionekane, sio kutelekeza jumlaSio ki mchezo mchezo mkuu.
Unataka mibatuambiane ukweli jaman vipi irene tusije filisika kwa kutosikia
Kajala wa buza au huyu Mkuu[emoji16][emoji16][emoji16]ati nilidate na kajala...uhuhuhuhuhuh[emoji125][emoji57][emoji57][emoji16][emoji16][emoji1]Nilidate na kajala niliyumba kiuchumi sana huyo kajala ana gundu la wanaume
Hata kubadili wanawake pia lazima upate mikosi.Kubadili wanaume sana lazima upate mikosi
[emoji2960]Chai
Wanawake mnafuatiliana, mnajuana vizuri.View attachment 2681797
Kajala alipoanza mahusiano na Pfunk Majani, Pfunk aliyumba sana akapigwa bao na kina masterJ, Mikamwamba na wengine wengi, wakongwe wenzangu mnawakumbuka.
Kajala akafunga ndoa, mume akafungwa magereza, yeye aliponea baada ya wema kumlipia fedha alizopewa na mpenzi wake CK.
Kwa ulaku wake, Kajala akamwibia Wema yule bwana, kilichompata bwana yule baada ya kudate Kajala alifukuzwa kazi serikalini na kupandishwa mahakaman kwa ufisadi na uhujumu, alifungwa na kufilisika kabisa. Sasa hivi anachoma mishkaki.
Harmo alipotoka WCB alipata deals nyingi na endorsements, lakini alipolianzisha na Kajala makampuni hayakuongeza mikataba, wasanii hadi machawa wa kondegang waliachana nae. Hilo ni gundu.
Rayvan alipodate Paula wa Kajala alipotea kwenye Raman had akamrudia mkewe, hadi Sasa hajakaa sawa bado kibiashara.
Nikimtazama Marioo tangu aanzane na Paula wa Kajala, umaarufu unapungua.
Je, hili sio gundu lililopindukia?
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Nikajua ni classmate wako?Nilidate na kajala niliyumba kiuchumi sana huyo kajala ana gundu la wanaume
Kuna wanwake Wana upepoKajala sio mara ya kwanza kusikia hii ya kua na gundu. Ukidate naye lazima uangukie pua