Kajala na Paula wana gundu gani?

Kajala na Paula wana gundu gani?

1. Steve kànumba
2. TID
3. Diamond planumz
4. Omy dimpoz
5. Munana luis (mnamibia)
6. Idris sultan
7. Calisa
8. Chaz baba
9. Whozhu
10. Clement
11. Mwarabu wa Dubai (simkumbuki jina)
12. Kusah
13. Ay

Asilimia Kubwa alidate nao wakiwa hawana kitu, ila mpk wanaachana walishakua na kitu
mf: platnumz,tid, dimpoz,calisa,kusah

Hata aliowakuta Wana kitu, mpk wanaachana hamna aliefilisika
mf: mwarabu,Idris,Clement,whozhu,Chaz baba[emoji4]

Ilifikia kipind Watu wakawa wanagombea TU kumuonja wema Ili mambo yao yawanyookee[emoji4]
atafute na asiyejulikana na wala si staa, kapuku hana kitu. Sio kila mara mapenzi ya mastaa kwa mastaa tu, tumechoka kuwasikia na mapenzi yao ya mwendokasi
 
Utakuta na wasiojulikana Ni wengi sema list Yao haijulikani[emoji4]
kuna raia mmoja asiye maarufu wala staa aliniambia kuwa aliwahi kumtokea kimapenzi staa mmoja akakubaliwa. Aliniambiwa kuwa alipangiwa dau la kueleweka. Alisema kuwa mastaa huwa simpo sana kuwapata hata kama we si staa, kinachotakiwa ni hela yako tu ya kueleweka
 
1. Steve kànumba
2. TID
3. Diamond planumz
4. Omy dimpoz
5. Munana luis (mnamibia)
6. Idris sultan
7. Calisa
8. Chaz baba
9. Whozhu
10. Clement
11. Mwarabu wa Dubai (simkumbuki jina)
12. Kusah
13. Ay

Asilimia Kubwa alidate nao wakiwa hawana kitu, ila mpk wanaachana walishakua na kitu
mf: platnumz,tid, dimpoz,calisa,kusah

Hata aliowakuta Wana kitu, mpk wanaachana hamna aliefilisika
mf: mwarabu,Idris,Clement,whozhu,Chaz baba[emoji4]

Ilifikia kipind Watu wakawa wanagombea TU kumuonja wema Ili mambo yao yawanyookee[emoji4]

[emoji849][emoji849] AY alimdate Wema? Duuuh!!
 
Hawa mastaa wachukuliwe na masela ya mitaani yasiyo mastaa itatia fora sana. Hata hao masela wataona ni zali la mentali kupendwa na mademu hao mastaa. Wawape hizo njuluku zao nao wafahamike kuwa wana date na mastaa
 
1. Steve kànumba
2. TID
3. Diamond planumz
4. Omy dimpoz
5. Munana luis (mnamibia)
6. Idris sultan
7. Calisa
8. Chaz baba
9. Whozhu
10. Clement
11. Mwarabu wa Dubai (simkumbuki jina)
12. Kusah
13. Ay

Asilimia Kubwa alidate nao wakiwa hawana kitu, ila mpk wanaachana walishakua na kitu
mf: platnumz,tid, dimpoz,calisa,kusah

Hata aliowakuta Wana kitu, mpk wanaachana hamna aliefilisika
mf: mwarabu,Idris,Clement,whozhu,Chaz baba[emoji4]

Ilifikia kipind Watu wakawa wanagombea TU kumuonja wema Ili mambo yao yawanyookee[emoji4]
wote hawa looh🤔
 
Cha kushangaza wanadanga lakini mwisho wa siku wanakuwa masikini viuongo vimechakazwa vya kutosha. Udangaji ungekuwa na faida Wema sepetu angekuwa tajiri . Ushauri tu Kwa mnaouza hivyo viungo wekezeni kwenye viwanja na ujenzi wa nyumba udangaji una mwisho.
Noma sana!
 
Back
Top Bottom