princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
wenye wivu wajinyonge leoooooo...Wimbo ni mzuri na Video ni nzuri LAKINI nao utafifia mara moja kama ule wa Salome ulivyochuja faster. Tatizo ni moja tu, wasanii hao wote waliipigia kampeni CCM ile mwaka jana ili watanzania tuisome namba, sasa ni zamu yao kuisoma namba pia.
Kwanza walipe Kodi.
Watanzania hatutakagi ujinga.
kwakwelikuna msanii kila nyimbo analia tu
Hivi Kiba alikufanyaga nini?kuna msanii kila nyimbo analia tu
Acha wivu wa Kike. Huu wimbo ni Balaa jingine Africa.Wimbo ni mbovu mno.. hii bongo fleva sijui inaelekea wapi, yani huu uchafu unausifia sababu tu ni msanii wa timu yako
Yani we hacha tu jamaa ni hatariIla kiba kiukweli ana sauti aisee
nasikia ana mashamba ya mpungaNimetoka kuusikiliza bado sijauelewa,Ommy atafute shughuli nyingine ya kufanya na kiba kama aliipania sana hivi matokeo yake ameharibu. KAMA WIMBO WAKO HAKUNA UNACHOPATA KWA KUKAA YOUTUBE BASI YOUTUBE SI MUHIMU,ILA KAMA HUWA UNALIPWA BASI YOUTUBE MUHIMU SANA.
ndo shida ya hawa jamaa wanajua kuimba sana ila shida ni kwenye ubunifu yani mtu anatunga wimbo kama msanii chipukizi!Naupa wiki moja tu huwu wimbo baada ya apo utafata njia za zingine zilizopita kama
Nitulize
Nisamehe
Averina
Ubunifu zero plus same melody kwa kila nymbo
WEWE NI NYUMBU,MBOWE MWENYEWE KILA SIKU ALIKUWA ANAPIGA NYIMBO ZA HAO WASANII WALIOPIGIA KURA CCM PALE KWENYE DANGURO LAKE BILICUS KABLA YA KUSOMESHWA NAMBA KWA UJANJA UJANJA NA UTAPELI.SASA WEWE KOMAA NA SIASA UCHWARAWimbo ni mzuri na Video ni nzuri LAKINI nao utafifia mara moja kama ule wa Salome ulivyochuja faster. Tatizo ni moja tu, wasanii hao wote waliipigia kampeni CCM ile mwaka jana ili watanzania tuisome namba, sasa ni zamu yao kuisoma namba pia.
Kwanza walipe Kodi.
Watanzania hatutakagi ujinga.
Nimekuelewa baada ya kuvuta jike shupa na mboga 7. Dogo wawe wanampa chorus. Sauti anayo sana sana sanaMimi bado aiseeeee naona kama Ali siku hizi anazingua akishirikishwa kuanzia ule nisamehe ni kawaida ukija huu ni kawaida pia.
Hawa wanaomshirikisha Ali inabidi wajue sasa Ali sio wa kuimba verse bora wawe wanampa chorus na back vocal maana hizo ndio silaha zake.
Angalia Jike shupa au mbonga 7 kapiga fresh chorus zao ila akipewa verse lazima aboronge.
Wimbo sio mbaya ni wimbo wa kawaida...Nilidhani utakuwa mkali kuliko wa NaiNai ila imekuwa tofauti na iko wazi nguvu ya Ommy Dimpozi inazidi kwenda chini.
Atakuwa amefanya la maana, kwasababu kwasasa TZ soko la mazao ya chakula ndio yanalipa.Ila huku kwenye muziki keshachemsha.nasikia ana mashamba ya mpunga
Salome imechuja wiki ya kwanzawenye wivu wajinyonge leoooooo...
salome haichuji jamani.....!!!!!!!!
tusiongopeane
Ndio maana jana mukaiimba Salome pale leaders..Salome imechuja wiki ya kwanza
Naupa wiki mojaBalaaa ballaaaa kweli huu wimbo sio mchezo nilichoshindwa kuelewa huu wimbo wa kajiandae ni wa nani maana alichofanya king kiba kule ndani daaah! Anajua sana kiba kwa kweli