Kajiandae; Balaa jipya toka kwa Ommy Dimpoz na Alikiba

Kajiandae; Balaa jipya toka kwa Ommy Dimpoz na Alikiba

Wimbo ni mzuri na Video ni nzuri LAKINI nao utafifia mara moja kama ule wa Salome ulivyochuja faster. Tatizo ni moja tu, wasanii hao wote waliipigia kampeni CCM ile mwaka jana ili watanzania tuisome namba, sasa ni zamu yao kuisoma namba pia.
Kwanza walipe Kodi.

Watanzania hatutakagi ujinga.
wenye wivu wajinyonge leoooooo...
salome haichuji jamani.....!!!!!!!!
tusiongopeane
 
Huu wimbo nimeupenda sana..!
Sijawahi kuisifia KAZI yoyote ya Omary Nyembo...
Lakini hii imenikosha sana...
MUZIKI wetu unapiga hatua kubwa sana..!
Nawasubiri WCB...
Nao sijui watatuletea KITU gani..!
 
Nimetoka kuusikiliza bado sijauelewa,Ommy atafute shughuli nyingine ya kufanya na kiba kama aliipania sana hivi matokeo yake ameharibu. KAMA WIMBO WAKO HAKUNA UNACHOPATA KWA KUKAA YOUTUBE BASI YOUTUBE SI MUHIMU,ILA KAMA HUWA UNALIPWA BASI YOUTUBE MUHIMU SANA.
nasikia ana mashamba ya mpunga
 
Naupa wiki moja tu huwu wimbo baada ya apo utafata njia za zingine zilizopita kama
Nitulize
Nisamehe
Averina
Ubunifu zero plus same melody kwa kila nymbo
ndo shida ya hawa jamaa wanajua kuimba sana ila shida ni kwenye ubunifu yani mtu anatunga wimbo kama msanii chipukizi!
 
kuna light flani inaumiza macho!
Halafu umepoa kimtindo fulani yaani hata club kama sio mpenzi wa kucheza kwa ngoma hii hata kutikisa kichwa tu hauwezekani!
Angalia collabo chache za mond hivi karibuni kama
waache waoane
watoramali
salome
hata ukijizuia kucheza lazma utatikisa hata mguu tu! Bado ommy kwa zile levo zake hakutakiwa kuja na ngoma kama hii
 
Wimbo ni mzuri na Video ni nzuri LAKINI nao utafifia mara moja kama ule wa Salome ulivyochuja faster. Tatizo ni moja tu, wasanii hao wote waliipigia kampeni CCM ile mwaka jana ili watanzania tuisome namba, sasa ni zamu yao kuisoma namba pia.
Kwanza walipe Kodi.

Watanzania hatutakagi ujinga.
WEWE NI NYUMBU,MBOWE MWENYEWE KILA SIKU ALIKUWA ANAPIGA NYIMBO ZA HAO WASANII WALIOPIGIA KURA CCM PALE KWENYE DANGURO LAKE BILICUS KABLA YA KUSOMESHWA NAMBA KWA UJANJA UJANJA NA UTAPELI.SASA WEWE KOMAA NA SIASA UCHWARA
 
Mimi bado aiseeeee naona kama Ali siku hizi anazingua akishirikishwa kuanzia ule nisamehe ni kawaida ukija huu ni kawaida pia.

Hawa wanaomshirikisha Ali inabidi wajue sasa Ali sio wa kuimba verse bora wawe wanampa chorus na back vocal maana hizo ndio silaha zake.

Angalia Jike shupa au mbonga 7 kapiga fresh chorus zao ila akipewa verse lazima aboronge.

Wimbo sio mbaya ni wimbo wa kawaida...Nilidhani utakuwa mkali kuliko wa NaiNai ila imekuwa tofauti na iko wazi nguvu ya Ommy Dimpozi inazidi kwenda chini.
Nimekuelewa baada ya kuvuta jike shupa na mboga 7. Dogo wawe wanampa chorus. Sauti anayo sana sana sana
 
Balaaa ballaaaa kweli huu wimbo sio mchezo nilichoshindwa kuelewa huu wimbo wa kajiandae ni wa nani maana alichofanya king kiba kule ndani daaah! Anajua sana kiba kwa kweli
 
Back
Top Bottom