evonik
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 3,996
- 5,156
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wanajukwaa,
Jana wale vijana wenye uwezo wa kuburudisha, kufundisha na kuhamasisha (ROMA + STAMINA = ROSTAM) waliachia wimbo uliozua gumzo kwa ujumbe na ubunifu uliopo ndani yake.
Kuna mistari (mashairi) fulani wanasema hivi -:
R.O.M.A: Nasikia Koyu Keza Mbochi
STAMINA: 'Mano Likwelikwe'
Kama mnakumbuka kuna mchezo ulikuwepo sana mashuleni, yaani watu wanaongea maneno kwa kinyume ili kumficha muhusika au watu wasielewe haraka.
Hivyo hapo walimaanisha hivi-:
R.O.M.A: 'Nasikia Yuko Zake Chimbo'..
STAMINA: 'Noma Kwelikweli'
Je walikuwa wanamsema Nani?
Msafwa,
Uporoto, Mbeya
Kaka tuchatKorona keshaimba rayvanny.
Wanaubuifu gani? Kila tukio lazima walitumie kupata kiki hawa.
YouTube hukujui kwani?Wakuu naomben hiyo nyimbo hapa
Sent by IPhone
Aisee Mano likwe likweAskali wamejazana kwenye defenda hawana barakoa
ah! ah! du! mano likwe likwe