Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,828
- 15,001
Roma: Nasikia Prof Kabudi kanywa dawa kabla ya utafiti..
Stamina: Kaka tuchat.
Sent using Jamii Forums mobile app
Stamina: Kaka tuchat.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nusu mtu nusu Mbwa hukosi cha kukosoa, duh huruma kweli kwa waliokuzaanyimbo au wimbo?
Bora huyo sasa,yule mwingine muda huu anawaza matusi mapya ayatungie nyimbo.... aibu gani hii.Mzee asiye na showoff nasikia ana singo ya hatari ya corona
Nyimbo kali [emoji91][emoji91][emoji91]Humu wameizungumzia Corona, hut ndo tunaitaubunifu.
Siyo Habari za bunyero bunyero inama nipachike rungu
Hatari kwamba Tanga mafundiMashairi yao yamenifurahisha nimecheka, eti "Tanga wametengeneza Sanitizers za Iriki ukipaka unanukiaa"😀