Chereko tena
JF-Expert Member
- Dec 9, 2019
- 467
- 520
Anajua naona usingizi,mwanzo aliandika vzr,unajishebedua baada ya mshikaji kukurekebisha.
we kubali tu kuwa umechapia ama ulikua hujui correct spelling ya neno "sanitizer"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajua naona usingizi,mwanzo aliandika vzr,unajishebedua baada ya mshikaji kukurekebisha.
we kubali tu kuwa umechapia ama ulikua hujui correct spelling ya neno "sanitizer"
Jaman VP huko chumbani mpo salama,naona kimya kimezidiPoa mpendwa.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Roma ni beberu
Mkuu upo makini sana, nilikuwa najaribu kuelewa pale nikawa natoka patupu[emoji3516]
KITU NILICHOBAINI,
WENGI HAWAJAIELEWA ILE MISTARI MICHACHE YA MWISHO ILIYOGEUZWA MANENO ILE;
R.O.M.A: "Nasikia Koyu Keza Mbochi" = (Nasikia Yuko Zake Chimbo).
STAMINA: "Mano Likwelikwe" = (Noma Kwelikweli).
YAANI HAPO IMEPIGWA BONGE LA SARAKASI HAPO!!!
(CHATO_CITY IS IN DA HOUSE!!!)
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀Jaman VP huko chumbani mpo salama,naona kimya kimezidi
Imetoka leo tarehe 09/05DAR ROMA...UPO JUU SANA...Imetoka lini hii nyimbo...?
[emoji3516]
KITU NILICHOBAINI,
WENGI HAWAJAIELEWA ILE MISTARI MICHACHE YA MWISHO ILIYOGEUZWA MANENO ILE;
R.O.M.A: "Nasikia Koyu Keza Mbochi" = (Nasikia Yuko Zake Chimbo).
STAMINA: "Mano Likwelikwe" = (Noma Kwelikweli).
YAANI HAPO IMEPIGWA BONGE LA SARAKASI HAPO!!!
(CHATO_CITY IS IN DA HOUSE!!!)
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kudos maana yake nn??...Hawa watoto ni wajinga sana hawa [emoji23], binafsi nilikuwa sijaelewa hiyo mistari ya mwisho. Kudos Rostam wimbo mzuri, video nzuri.
Hii mustari sijaisikia ngoja nikarudie"Naskia koyu zeka mbochi"
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pumbavu zao[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya hujambo!, jishebedue na wewe nimekuruhusu.unajishebedua baada ya mshikaji kukurekebisha.
we kubali tu kuwa umechapia ama ulikua hujui correct spelling ya neno "sanitizer"
Hahaa, haya bana kumbe ulikua unateseka eeh, ungenipa tu hayo makavu mwenyewe, why usubirie mpaka mwingine akusemee, unaniogopa?Bora umempa makavu live alitaka kutuoshea anajua kumbe hajui...!!!!
Kaka tuchatiHawa jamaa hawana huruma kabisa wakati wanajua jana kuna EP imeachiwa ya chipukizi dah.
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi, jiwe kwa jiwe. Dada tuchatiHahaa, haya bana kumbe ulikua unateseka eeh, ungenipa tu hayo makavu mwenyewe, why usubirie mpaka mwingine akusemee, unaniogopa?