Kaka tuchati - Ngoma mpya Ya Rostam, Roma & Stamina

Kaka tuchati - Ngoma mpya Ya Rostam, Roma & Stamina

Hao vijana ni Watanzania walioimba hivyo? Kwanini wanakuwa Wasaliti wa Nchi ?

Kwanini wanatumikia Mabeberu ?

Serkali msiruhusu huu uhuni
 
Ni maarufu kwa brother tuchat

Huu wimbo unasaambaa kama moto wa nyika huku ukibeba ujumbe wa kukosoa juhudi za serikali yetu wa kupambana na corona na kusema kuwa mh.rais amejificha chimbo maana kuwa amekimbia kwa kutumia lunga ya kiruguru

Huu ni wimbo wa kichochezi kabisa na upo wazi tu ,kwa nini wafunge nyimbo na nyimbo kama hizi ziachwe zisambae inamaana Luna double standard kwenye sheria

Mamlaka mpo Eng.kilaba upo waziri yupo fungieni huu wimbo haraka kwa kuwa kila mmoja wetu anaridhika juhudi za serikali za kupambana na corona hasa kuleta dawa na sio kweli kuwa mh. Rais amejificha mh. Rais yupo Kazini akihudumumia watanzania akiwa ikulu ndogo ya chato


USSRView attachment 1445794

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefurahi kuona uzi umeunganishwa, hebu ona aibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni maarufu kwa brother tuchat

Huu wimbo unasaambaa kama moto wa nyika huku ukibeba ujumbe wa kukosoa juhudi za serikali yetu wa kupambana na corona na kusema kuwa mh.rais amejificha chimbo maana kuwa amekimbia kwa kutumia lunga ya kiruguru

Huu ni wimbo wa kichochezi kabisa na upo wazi tu ,kwa nini wafunge nyimbo na nyimbo kama hizi ziachwe zisambae inamaana Luna double standard kwenye sheria

Mamlaka mpo Eng.kilaba upo waziri yupo fungieni huu wimbo haraka kwa kuwa kila mmoja wetu anaridhika juhudi za serikali za kupambana na corona hasa kuleta dawa na sio kweli kuwa mh. Rais amejificha mh. Rais yupo Kazini akihudumumia watanzania akiwa ikulu ndogo ya chato


USSR
View attachment 1445794

Sent using Jamii Forums mobile app
Duduna
 
Ni maarufu kwa brother tuchat

Huu wimbo unasaambaa kama moto wa nyika huku ukibeba ujumbe wa kukosoa juhudi za serikali yetu wa kupambana na corona na kusema kuwa mh.rais amejificha chimbo maana kuwa amekimbia kwa kutumia lunga ya kiruguru

Huu ni wimbo wa kichochezi kabisa na upo wazi tu ,kwa nini wafunge nyimbo na nyimbo kama hizi ziachwe zisambae inamaana Luna double standard kwenye sheria

Mamlaka mpo Eng.kilaba upo waziri yupo fungieni huu wimbo haraka kwa kuwa kila mmoja wetu anaridhika juhudi za serikali za kupambana na corona hasa kuleta dawa na sio kweli kuwa mh. Rais amejificha mh. Rais yupo Kazini akihudumumia watanzania akiwa ikulu ndogo ya chato


USSR
View attachment 1445794

Sent using Jamii Forums mobile app
Walikushirikisha wakakwambia ulichoandika ndo walikuwa wanamaanisha? Kazi ya fasihi kila hadhira itatafsiri kulingana na ufahamu wake, na mazingira yake.. ukilaumiwa kutoa tafrisi yako yenye dhihaka kwa uongozi utakataa?
 
Back
Top Bottom