Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimefurahi kuona uzi umeunganishwa, hebu ona aibuNi maarufu kwa brother tuchat
Huu wimbo unasaambaa kama moto wa nyika huku ukibeba ujumbe wa kukosoa juhudi za serikali yetu wa kupambana na corona na kusema kuwa mh.rais amejificha chimbo maana kuwa amekimbia kwa kutumia lunga ya kiruguru
Huu ni wimbo wa kichochezi kabisa na upo wazi tu ,kwa nini wafunge nyimbo na nyimbo kama hizi ziachwe zisambae inamaana Luna double standard kwenye sheria
Mamlaka mpo Eng.kilaba upo waziri yupo fungieni huu wimbo haraka kwa kuwa kila mmoja wetu anaridhika juhudi za serikali za kupambana na corona hasa kuleta dawa na sio kweli kuwa mh. Rais amejificha mh. Rais yupo Kazini akihudumumia watanzania akiwa ikulu ndogo ya chato
USSRView attachment 1445794
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeyote na sio yoyoteNgoma kali sana
TAFUTA MTU YOYOTE UMLAUMU...!
Wako vizuri, nitaagiza sanitizer ya iliki kutoka Tanga[emoji1]Humu wameizungumzia Corona, huu ndo tunaita ubunifu.
Siyo Habari za bunyero bunyero inama nipachike rungu
DudunaNi maarufu kwa brother tuchat
Huu wimbo unasaambaa kama moto wa nyika huku ukibeba ujumbe wa kukosoa juhudi za serikali yetu wa kupambana na corona na kusema kuwa mh.rais amejificha chimbo maana kuwa amekimbia kwa kutumia lunga ya kiruguru
Huu ni wimbo wa kichochezi kabisa na upo wazi tu ,kwa nini wafunge nyimbo na nyimbo kama hizi ziachwe zisambae inamaana Luna double standard kwenye sheria
Mamlaka mpo Eng.kilaba upo waziri yupo fungieni huu wimbo haraka kwa kuwa kila mmoja wetu anaridhika juhudi za serikali za kupambana na corona hasa kuleta dawa na sio kweli kuwa mh. Rais amejificha mh. Rais yupo Kazini akihudumumia watanzania akiwa ikulu ndogo ya chato
USSR
View attachment 1445794
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawajavaa hata barakoaPolisi juu ya difenda wanabananá wanatukusanya wakitwambia tusikusanyike.....
HII NGOMA KALI NAIPA ASILIMIA ZOTE...
KILA HATUA DUA
Walikushirikisha wakakwambia ulichoandika ndo walikuwa wanamaanisha? Kazi ya fasihi kila hadhira itatafsiri kulingana na ufahamu wake, na mazingira yake.. ukilaumiwa kutoa tafrisi yako yenye dhihaka kwa uongozi utakataa?Ni maarufu kwa brother tuchat
Huu wimbo unasaambaa kama moto wa nyika huku ukibeba ujumbe wa kukosoa juhudi za serikali yetu wa kupambana na corona na kusema kuwa mh.rais amejificha chimbo maana kuwa amekimbia kwa kutumia lunga ya kiruguru
Huu ni wimbo wa kichochezi kabisa na upo wazi tu ,kwa nini wafunge nyimbo na nyimbo kama hizi ziachwe zisambae inamaana Luna double standard kwenye sheria
Mamlaka mpo Eng.kilaba upo waziri yupo fungieni huu wimbo haraka kwa kuwa kila mmoja wetu anaridhika juhudi za serikali za kupambana na corona hasa kuleta dawa na sio kweli kuwa mh. Rais amejificha mh. Rais yupo Kazini akihudumumia watanzania akiwa ikulu ndogo ya chato
USSR
View attachment 1445794
Sent using Jamii Forums mobile app
Humu wameizungumzia Corona, huu ndo tunaita ubunifu.
Siyo Habari za bunyero bunyero inama nipachike rungu
Humu wameizungumzia Corona, huu ndo tunaita ubunifu.
Siyo Habari za bunyero bunyero inama nipachike rungu
AiseeeeNusu mtu nusu Mbwa hukosi cha kukosoa, duh huruma kweli kwa waliokuzaa
Haizuii ujumbe,mbona ujumbe wa kawaida tuMwana kulitafta Mwana kulipata... Round hii sio ununio ni daraja la mkapa
Msiojulikana Mpo?????
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutusa hilo mkuu.