Kaka tuchati - Ngoma mpya Ya Rostam, Roma & Stamina

Kaka tuchati - Ngoma mpya Ya Rostam, Roma & Stamina

Ngoja waje wakujibu hata mm sijaelelewa huu mstari
Sikiliza wimbo wa Roma unaoitwa zimbabwe unaweza kupata mwanga japo kidogo
Ila ukitaka kumuelewa nini kilichomkuta anza na 1. 2030
2. Viva roma viva
3. Zimbabwe
4. Kaka tuchati
Fuata mtiririko huo pengine utaelewa ule usemi wanaosema "Hip Hop Harakati"
yna2 TUCHATI
 
Ni maarufu kwa brother tuchat

Huu wimbo unasaambaa kama moto wa nyika huku ukibeba ujumbe wa kukosoa juhudi za serikali yetu wa kupambana na corona na kusema kuwa mh.rais amejificha chimbo maana kuwa amekimbia kwa kutumia lunga ya kiruguru

Huu ni wimbo wa kichochezi kabisa na upo wazi tu ,kwa nini wafunge nyimbo na nyimbo kama hizi ziachwe zisambae inamaana Luna double standard kwenye sheria

Mamlaka mpo Eng.kilaba upo waziri yupo fungieni huu wimbo haraka kwa kuwa kila mmoja wetu anaridhika juhudi za serikali za kupambana na corona hasa kuleta dawa na sio kweli kuwa mh. Rais amejificha mh. Rais yupo Kazini akihudumumia watanzania akiwa ikulu ndogo ya chato


USSRView attachment 1445794

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna sehemu waliyo mtaja rais wewe jamaa
 
Hao vijana ni Watanzania walioimba hivyo? Kwanini wanakuwa Wasaliti wa Nchi ?

Kwanini wanatumikia Mabeberu ?

Serkali msiruhusu huu uhuni
Toa amri polisi wajazane kwenye difenda bila barakoa tukawakamate
 
Nyimbo ni nzuri sana, ila kashida ni pale ambapo kale ka T-mobile kanapoonekana kwa roma na stamina kwani wote walikuwa marekani, maana T-mobile n mtandao wa U.S
 
[emoji3516]
KITU NILICHOBAINI,
WENGI HAWAJAIELEWA ILE MISTARI MICHACHE YA MWISHO ILIYOGEUZWA MANENO ILE;

R.O.M.A: "Nasikia Koyu Keza Mbochi" = (Nasikia Yuko Zake Chimbo).

STAMINA: "Mano Likwelikwe" = (Noma Kwelikweli).

YAANI HAPO IMEPIGWA BONGE LA SARAKASI HAPO!!!
(CHATO_CITY IS IN DA HOUSE!!!)


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umenifumbua,hii tikitaka ya hatari aisee,nilikuwa sijawasoma,hawa jamaa ubunifu[emoji817]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom