Kaka usichokijua kuhusu mwanamke

Kaka usichokijua kuhusu mwanamke

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
KAKA USICHOKIJUA KUHUSU MWANAMKE
1731100387245.jpg

Kaka nakuibia siri mwanamke hapendi kutumia mto kuegeesha kichwa chake chunguza uone

Mwanamke hupenda kulaza kichwa chake kwenye kifua cha mwanaume wake au alaze kichwa chake kwenye bega au kwenye mkono kwa mwanaume wake hasa anayekupenda

Mwanamke hujihisi amani sana akilala na mwenza wake kichwa chake kikawa kwenye mwili wa mwanaume wake kipenzi chake

Kuna wakati usiku wa manane hufumbua macho na kumtazama mwanaume wake kisha hutabasamu. Wanaume wasichokijua mara nyingi mwanamke hufumbua macho mara nyingi kuliko mwanaume akiwa amelala

Mwanaume akiutoa mkono au akimuondoa kifuani mwanamke hujirudisha hata ukingeuka utashangaa yuko na yeye kashajingeuza.

Mwanamke akikutazama na akapata hisia huanza kukupasa kama hutoamka basi atakuita jina lako au atakusemesha ili ufumbue macho kisha atie huruma za kihisia ili umdinye.
 
SAA NANE USIKU NITAKUA NA MAOMBI YA KUFUNGULIWA UNAHITAJI NIKUOMBEE NINI MUNGU AFANYE KWAKO.🙏❤️

Mwanamke akikutazama na akapata hisia huanza kukupasa kama hutoamka basi atakuita jina lako au atakusemesha ili ufumbue macho kisha atie huruma za kihisia ili umdinye.
Leo kutakua na maombi bwashee..?
 
hivi mnavyo jisumbuaga kujifunza sijui wanawake wanapenda au wanataka nini huwa mnafaidika na nini?
wew piga mashine tembea.
hayo mengine ni utumwa jombi
 
KAKA USICHOKIJUA KUHUSU MWANAMKE
View attachment 3147486
Kaka nakuibia siri mwanamke hapendi kutumia mto kuegeesha kichwa chake chunguza uone

Mwanamke hupenda kulaza kichwa chake kwenye kifua cha mwanaume wake au alaze kichwa chake kwenye bega au kwenye mkono kwa mwanaume wake hasa anayekupenda

Mwanamke hujihisi amani sana akilala na mwenza wake kichwa chake kikawa kwenye mwili wa mwanaume wake kipenzi chake

Kuna wakati usiku wa manane hufumbua macho na kumtazama mwanaume wake kisha hutabasamu. Wanaume wasichokijua mara nyingi mwanamke hufumbua macho mara nyingi kuliko mwanaume akiwa amelala

Mwanaume akiutoa mkono au akimuondoa kifuani mwanamke hujirudisha hata ukingeuka utashangaa yuko na yeye kashajingeuza.

Mwanamke akikutazama na akapata hisia huanza kukupasa kama hutoamka basi atakuita jina lako au atakusemesha ili ufumbue macho kisha atie huruma za kihisia ili umdinye.
Mmh sio kweli mbona wangu hayuko hivyo ukizingatia hua namdinya kila baada ya siku 2 so siku mbili zikipita anatamani ata nisirudi home,anatamani arudi kwao but kwao life gumu.
 
Wapi utafiti? Siyo kila mwanamke ni kama wako. Mama yako siyo sawa na mkeo.
 
Mwanamke ni kiumbe ambaye ana uwezo wa ajabu na wa kipekee wa asili, mbaya zaidi hata yeye mwanamke hajui uwezo alionao.
Kadri miaka inavyoenda ndivyo mwanamke anasanuka uwezo alionao na ndo maajabu/vitimbwi/visa na visavisabina mnayoyaona kila leo.
 
Back
Top Bottom