Kaka wa Mange Kimambi aenda tena ofisini kwa RC Makonda

Kaka wa Mange Kimambi aenda tena ofisini kwa RC Makonda

BOMBAY

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2014
Posts
4,732
Reaction score
3,508
Kaka mdogo wa mwanadada machachari katika mtandao wa Instagram, Bi. Mange Kimambi ameonekana akiwa ofisini kwa RC Makonda wakiwa na furaha kupitiliza.

Hii ni siku chache tu baada ya mwanadada huyo kutoa povu la kleesoft baada ya mdogo wake kuonekana na RC huyo ambaye ni hasimu wake mkuu.

Rejea: Mange Kimambi amuandikia ujumbe mzito kaka yake aliyekutana na kupiga picha na Paul Makonda

lemutuz_superbrand_Bhq-D3kFW7H.jpg
 
Back
Top Bottom