hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
huko huko...hahaaKwa shosti😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huko huko...hahaaKwa shosti😀😀
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tutamtoa upepo awe mwembamba
Ah wapi,Yaani huyu Dogo enzi za utumwa angeuzwa bei kubwa sana!
Mh. Atasaidia kumpata dadaKaka mdogo wa mwanadada machachari katika mtandao wa Instagram, Bi. Mange Kimambi ameonekana akiwa ofisini kwa RC Makonda wakiwa na furaha kupitiliza.
Hii ni siku chache tu baada ya mwanadada huyo kutoa povu la kleesoft baada ya mdogo wake kuonekana na RC huyo ambaye ni hasimu wake mkuu.
Rejea: Mange Kimambi amuandikia ujumbe mzito kaka yake aliyekutana na kupiga picha na Paul Makonda
View attachment 747784
unajifanya unamjuuuwa mwenyewe!!! Wabongo bwana mixer kushangaa eti hajapungua tu!!!!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Anil Hajapungua?Toka Namjua 2010 Yupo vile vile sijui bangi ameacha kuvuta,bora ajikombe kombe kwa makonda maana ule mjumba wao ukichukuliwa sijui itakuwa na keshazoea kufanya houseparty mara kwa mara
Imagine Nivae Shati Lake?Alitolewa upepoo au
uwezo wako wakufikili wakawaida sana ndugu sijui unawaza nini kichwani mwako.Nadhani hii move kaianda mange ili kulinda mali za familia hasa btar 26/04 inapokaribia...kumbuka serikali inaweza kufanya lolote kuikomoa familia
Duuh. Mkuu kumbe upo?... Nakumbuka enzi zenu Hota lady, Chabruma, Lizaboni, Ocampo Four, Agwambo etc...uwezo wako wakufikili wakawaida sana ndugu sijui unawaza nini kichwani mwako.
laana unayo wewe, dada anamchango mkubwa sana katika kutetea maslai yetu watanzania only marofa mtapinga kuhusu hili.Mange unapingwa mpaks na ndugu zako sababu ukosefu wa adabu.Laana hiyo
Yaani huyu Dogo enzi za utumwa angeuzwa bei kubwa sana!
Mange na huyo ni mama tofautiHuyu bro kamnyonya mange mwili .alimpokonya ziwa
amu mimi mbona nimekumiss sana hu hali gani?........Anil Hajapungua?Toka Namjua 2010 Yupo vile vile sijui bangi ameacha kuvuta,bora ajikombe kombe kwa makonda maana ule mjumba wao ukichukuliwa sijui itakuwa na keshazoea kufanya houseparty mara kwa mara
Kwa ajili gn!Yaani huyu Dogo enzi za utumwa angeuzwa bei kubwa sana!