Kaka wa Rais wa Sri Lanka, Basil Rajapaksa, azuiwa kutoka nje ya nchi

Kaka wa Rais wa Sri Lanka, Basil Rajapaksa, azuiwa kutoka nje ya nchi

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Basil Rajapaksa ambaye pia ana Uraia wa Marekani amezuiwa na Maafisa wa Idara ya Uhamiaji kuondoka nje ya Sri Lanka. Bado haijafahamika alikuwa anaelekea wapi

Rajapaksa alijiuzulu nafasi ya Waziri wa Fedha Aprili 2022 baada ya maandamano kushika kasi kutokana na uhaba wa mafuta, chakula na bidhaa nyingine muhimu. Mwezi Juni, alijiuzulu Ubunge

Familia ya Rajapaksa imeshikilia Siasa za Taifa hilo kwa muda mrefu, na wananchi wengi wanailaumu kwa matatizo yanayoikumba Nchi hiyo kwa sasa

=======

Sri Lankan immigration officials stopped the president's brother and former finance minister Basil Rajapaksa from flying out of the country on Tuesday, as anger mounted over the island's worst economic crisis in decades.

It was not clear where Rajapaksa, who also holds U.S. citizenship, was trying to go. He resigned as finance minister in early April as street protests surged against shortages of fuel, food and other necessities, and quit his seat in parliament in June.

His elder brother, Gotabaya Rajapaksa, will resign as president on Wednesday to make way for a unity government, after thousands of protesters stormed his and the prime minister's official residences on Saturday demanding their ouster.

The president has not been seen in public since Friday and his whereabouts are unclear. Parliament will elect his replacement on July 20.

The main opposition party has nominated its leader, Sajith Premadasa, the son of an assassinated president, for the post. The ruling party is to decide on a nominee later in the day.

The Sri Lanka Immigration and Emigration Officers Association said its members declined to serve Basil Rajapaksa at the VIP departure lounge at Colombo airport.

"Given the unrest in Sri Lanka, immigration officials are under tremendous pressure to not allow top-level people to leave the country," K.A.S. Kanugala, chairman of the association, told Reuters.

"We are concerned for our security. So until this issue is resolved, the immigration officials working at the VIP lounge decided to withdraw their services."

Pictures of Basil Rajapaksa at the lounge were carried by local media and widely shared on social media, with some people expressing anger at his attempts to flee. Basil Rajapaksa could not be immediately reached for comment and a close aide declined to give details.

A top official in the ruling party said on condition of anonymity that Basil Rajapaksa was still in the country.

The Rajapaksa family, including former Prime Minister Mahinda Rajapaksa, has dominated the politics of the country of 22 million for years and most Sri Lankans blame them for their current misery. Police have said that if a court ordered, they could investigate how about $50,000 in cash was found by protesters at the president's house.

Source: Reuters
 
Wananchi wa Sri Lanka ni wastaarabu sana. Maandamano ya amani, millions of money walizopata kwenye kasri ya rais wao, wamezikabidhi kwa jeshi.
 
Nadhani hayo maandamano yameratibiwa na vyombo vya ulinzi na usalama.
 
Na huku waendelee tu kujiaminisha kuwa wananchi wote wapumbavu, ipo siku wataamka na kuchoka kukuna huku wakipuliza.
 
comes around goes around, sasa zamu yao kuwa tumbo joto huku wakiwaza nini hatima ya maisha yao
tujifunze kumtii mungu na kuishi kwa kufauta amri 10 za mungu hapa duniani
 
Back
Top Bottom