Alute Munghwai, kaka yake Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ameonyesha kukerwa na kauli za Freeman Mbowe na Tundu Lissu, ambazo wamekuwa wakirushiana kwenye mahojiano. Wagombea hao wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa wanadaiwa kutoka nje ya mstari na badala yake walipaswa kueleza sera zao kwa wanachama.
"Kampeni zao kwa ujumla zinaenda vizuri ingawaje kwenye huu mnyukano hawa wagombea hasa wawili Freeman Mbowe na bwana Tundu (Tundu Lissu) kuna maeneo ambayo wameenda nje ya Reli, badala ya kujadili hoja wameanza kurushiana maneno ambayo siyo ya staha..."
Alute Munghwai, kaka yake Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ameonyesha kukerwa na kauli za Freeman Mbowe na Tundu Lissu, ambazo wamekuwa wakirushiana kwenye mahojiano. Wagombea hao wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa wanadaiwa kutoka nje ya mstari na badala yake walipaswa kueleza sera zao kwa wanachama.
"Kampeni zao kwa ujumla zinaenda vizuri ingawaje kwenye huu mnyukano hawa wagombea hasa wawili Freeman Mbowe na bwana Tundu (Tundu Lissu) kuna maeneo ambayo wameenda nje ya Reli, badala ya kujadili hoja wameanza kurushiana maneno ambayo siyo ya staha..."
Alute Munghwai, kaka yake Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ameonyesha kukerwa na kauli za Freeman Mbowe na Tundu Lissu, ambazo wamekuwa wakirushiana kwenye mahojiano. Wagombea hao wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa wanadaiwa kutoka nje ya mstari na badala yake walipaswa kueleza sera zao kwa wanachama.
"Kampeni zao kwa ujumla zinaenda vizuri ingawaje kwenye huu mnyukano hawa wagombea hasa wawili Freeman Mbowe na bwana Tundu (Tundu Lissu) kuna maeneo ambayo wameenda nje ya Reli, badala ya kujadili hoja wameanza kurushiana maneno ambayo siyo ya staha..."
Inasemekana kuwa Mbowe ametoa milioni 250 kwa ajili ya Mkutano Mkuu. Kwa maneno mengine Mkutano Mkuu usingefanyika bila mchango wake. Sasa kwa vile watu wengi mnaona kuwa anawahujumu basi changeni angalau milioni 200 mumrudishie ili asiwasimange na pesa zake. Wakati huo huo mchangieni Lissu milioni 30 alizoombwa achangie. Milioni 230 hakiwezi kuwashinda.
Alute Munghwai, kaka yake Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ameonyesha kukerwa na kauli za Freeman Mbowe na Tundu Lissu, ambazo wamekuwa wakirushiana kwenye mahojiano. Wagombea hao wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa wanadaiwa kutoka nje ya mstari na badala yake walipaswa kueleza sera zao kwa wanachama.
"Kampeni zao kwa ujumla zinaenda vizuri ingawaje kwenye huu mnyukano hawa wagombea hasa wawili Freeman Mbowe na bwana Tundu (Tundu Lissu) kuna maeneo ambayo wameenda nje ya Reli, badala ya kujadili hoja wameanza kurushiana maneno ambayo siyo ya staha..."
Inasemekana kuwa Mbowe ametoa milioni 250 kwa ajili ya Mkutano Mkuu. Kwa maneno mengine Mkutano Mkuu usingefanyika bila mchango wake. Sasa kwa vile watu wengi mnaona kuwa anawahujumu basi changeni angalau milioni 200 mumrudishie ili asiwasimange na pesa zake. Wakati huo huo mchangieni Lissu milioni 30 alizoombwa achangie. Milioni 230 hakiwezi kuwashinda.
Inasemekana kuwa Mbowe ametoa milioni 250 kwa ajili ya Mkutano Mkuu. Kwa maneno mengine Mkutano Mkuu usingefanyika bila mchango wake. Sasa kwa vile watu wengi mnaona kuwa anawahujumu basi changeni angalau milioni 200 mumrudishie ili asiwasimange na pesa zake. Wakati huo huo mchangieni Lissu milioni 30 alizoombwa achangie. Milioni 230 hakiwezi kuwashinda.
Ruzuku ya chama huwa inaenda wapi mpaka chama hakiwezi kujiendesha kugharamia mkutano mkuu wa wajumbe ? Au Ruzuku huwa inaingia mifukoni mwa mbowe na kusababisha chama kukosa pesa ya kujiendesha.
Inasemekana kuwa Mbowe ametoa milioni 250 kwa ajili ya Mkutano Mkuu. Kwa maneno mengine Mkutano Mkuu usingefanyika bila mchango wake. Sasa kwa vile watu wengi mnaona kuwa anawahujumu basi changeni angalau milioni 200 mumrudishie ili asiwasimange na pesa zake. Wakati huo huo mchangieni Lissu milioni 30 alizoombwa achangie. Milioni 230 hakiwezi kuwashinda.
Ruzuku ya chama huwa inaenda wapi mpaka chama hakiwezi kujiendesha kugharamia mkutano mkuu wa wajumbe ? Au Ruzuku huwa inaingia mifukoni mwa mbowe na kusababisha chama kukosa pesa ya kujiendesha.