Pre GE2025 Kaka yake Lissu: Mbowe anatukuza utajiri wake na kumnyanyasa Lissu kwa umaskini wake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hizo milioni 250 ni kiasi kidogo sana kutoka hiyo 13B iliyotolewa na Saa100.
 
Kwanza inasemekana fedha zote ambazo huwa anatoa anazidai na kurudishiwa, pili hakuna mahala Katibu Mkuu Mnyika amesema mkutano mkuu usingefanyika bila mkopo wa Mbowe. Lakini pia hakuna tangazo lo lote la kuomba michango ya kufanikisha mkutano huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…