Kaka yangu amewekwa quarantine China akitokea Italy

Qoute mm wrong or right,watanzania tunapenda sana kujitafutia majanga ya wenzetu.ss ni wanafiki na waongo wakubwa.HV unajua thamani ya uhai???HV unajua uchungu apatao yule aliyefiwa??mtoa post go fcuk yourself!
 
Amesema ni +ve? Mara nyingi ni njia ya kujihami na kuangaliwa tu na sio kwamba anaumwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Qoute mm wrong or right,watanzania tunapenda sana kujitafutia majanga ya wenzetu.ss ni wanafiki na waongo wakubwa.HV unajua thamani ya uhai???HV unajua uchungu apatao yule aliyefiwa??mtoa post go fcuk yourself!
Be blessed!🙏
 
Mtu katoka Italy, kaamkia China, kiswahili cha kazi gani?
The problem with Tanzanians wanaoishi E.A wanadhani the whole world ipo located E.A hawajui kuna watu nje, kuna ndugu za watu, kuna diaspora and co. And lastly wengi wanaendeleza vinasaba vya how afrika works.
 
Hadi leo tunaichangia post yako hii hakuna mtu mweusi alikufa kwa coroni hivyo kaka yako atakuwa salama soon

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, kumbe siyo peke yangu, nimeliona hilo kwa jicho la 3....
Labda mleta mada atuambie yeye yupo nchi gani?? Na huyo kakake walionana wapi mara ya mwisho??

Everyday is Saturday....................😎
Hahahaa JF kuna Spin Doctors/Watunzi kibao!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…