Mimi ni msichana wa miaka 23, nina kaka yangu baba mmoja na mama tofauti. Yeye ananipenda na mimi nampenda na tumekwisha wahi kufanya mapenzi mara kadhaa. Yeye ameahidi kuwa atanioa. Sisi ni Waislamu, je ni sawa tunachokifanya kama sio sawa tufanyeje?"
Tumsaidieni huyu dada jamani....
Ndoa gani yawezekana kati ya kaka na dada? Haikubaliki kwa sababu za kiafya na kimaadili. Ninyi ni maharimu hamuwezi kufunga ndoa licha ya kwamba mlishafanya ngono. Yafaa kuamua kwa dhati ya kuacha tabia hiyo isiyompendeza Mungu, wazazi na jamii kwa ujumla. Tokeni nje, wamejaa wadada na wakaka; mkaoe na kuolewa nao.
Kwani ndoa ni nini? Maana kama weshakula tundi asa kwa nini anataka ushauri? Si angetaka ushauri kabla hajafanya hizo mara kadhaa? Ah jamani
Sijui pengine dini yake inamruhusu maana nimeshayaona ya hivi mengi tu kwa hawa ndugu zetu
Ni kweli, mimi mwenyewe nilipopata kisa hiki nikashauri kuwa ndoa ya namna hii haiwezi kufungwa kwani kwa mujibu wa sheria ya ndoa ya Tanzania ndoa ya dizaini hii haikubaliki na pia mahusiano yeyoye ya kingono kati ya ndugu ni kosa la jinai linaitwa INCEST.,lakini huyu dada ametekwa kabisa na penzi la huyu ndugu yake na almost hasikii la mtu, labda tukiongea wengi hapa anaweza kuelewa.
Hili ni jambo la kutaka ushauri wakati liko wazi kabisa?? Tuache utani wakuu. Labda utuambie kuwa hawa kaka na dada ni punguani hawana ikili. Kwanza kitendo cha kufanya ngono na ndugu ndiyo ukichaa wenyewe kama siyo wendawazimu. Labda ungeniambia kuwa mmoja wao alizaliwa nje na hawakufahamiana mpaka walipokutana na kupendana. Na kama ni hivyo basi ni kosa kwa wazazi kutowatambulisha wale watoto haramu tangu wakiwa wadogo ili wafahamiane. Ukifanya siri basi siku utaletewa mjukuu wa mtoto wako. Hivi utamwita nani? Mjukuu au mtoto? Kazi kwenu wazinzi wasiokuwa na speed governor??!!
Kwani ndoa ni nini? Maana kama weshakula tundi asa kwa nini anataka ushauri? Si angetaka ushauri kabla hajafanya hizo mara kadhaa? Ah jamani
Sijui pengine dini yake inamruhusu maana nimeshayaona ya hivi mengi tu kwa hawa ndugu zetu
oaneni tu
Kawaulize maimamu wa msikiti ulio karibu nawe!!Tumsaidieni huyu dada jamani....