Kaka yangu anataka kunioa

Kaka yangu anataka kunioa

...achilia mbali Imani za dini kukataza hili, hata kisayansi inakatazwa ndugu wa tumbo moja kuzaliana kwani kwa asilimia kubwa husababisha Birth defects/disorders.

Hawa wanandugu wawili wanahitaji ushauri nasaha wa kitaalamu, yaani waonane na wataalamu wa magonjwa ya akili wataoweza ku 'unearth' psychological trauma waliyopitia wanandugu hawa katika maisha yao i.e abused, ili 'historia' isije ikajirudia kwa vizazi vyao.

Kama wameweza kufikia hapo haitakuwa ajabu huyo kaka kumlala binti yake, au huyu mdada kulala na kijana wake wa kiume. It's a deep psychological problem rather than just Incest-lust.
 
Mimi ni msichana wa miaka 23, nina kaka yangu baba mmoja na mama tofauti. Yeye ananipenda na mimi nampenda na tumekwisha wahi kufanya mapenzi mara kadhaa. Yeye ameahidi kuwa atanioa. Sisi ni Waislamu, je ni sawa tunachokifanya kama sio sawa tufanyeje?"


Ndo mwisho wa dunia hivi unakaribia.....eti.
Nimewahi kusikia eti ukishakula tunda kwa mara ya kwanza na mtu huwa ni dhambi isiyofutika.Itakutafuna mpaka mwisho wako.Nahisi huyu dada alikunwa na kaka yake kwa mara ya kwanza...anadhani hakuna wanaume wengine...Acheni madudu hayo...Tafuta kijana shupavu akukune sawasawa hutakaa umkumbuke kaka yako tena.Zote ni dhambi lakini ya kulala na kaka yako ni laana kabisa.
Pole lakini usithubutu hata kuiisemna kwa wazazi,mtatengwa.
 
Kwani ndoa ni nini? Maana kama weshakula tundi asa kwa nini anataka ushauri? Si angetaka ushauri kabla hajafanya hizo mara kadhaa? Ah jamani

Sijui pengine dini yake inamruhusu maana nimeshayaona ya hivi mengi tu kwa hawa ndugu zetu
Shida ya hawa wenzetu wanaoana hata watu wa karibu kabisa, mfano utakuta mara kadhaa mtu kamwoa mpwa wake, binamu wa kwanza, mtoto wa mama mdogo, mtoto wa mjomba, nk. Ni ajabu sana. Watoto wanaozaliwa humo mara nyingi wanakuwa na matatizo ya afya kwa vile damu yao ni moja - inazunguka humohumo tu. Wanakuwa dhaifu na hata vilema wa akili au maungo. Watu waende wakaoe mbali, wachanganye damu mpya, na kufungua milango mipya ya mahusiano na koo na familia zingine.
 
Gumu zaidi ni lipi? kuoana au kufanya mapenzi? Mtu mwingine atakurupuka na kusema "kuoana"! Ni sawasawa na mtu anayeshtushwa kusikia ati mtu kaukatakata mwili wa mtu vipande vipande baada ya kumuua. Ukiuliza kipi kimekushtusha zaidi anasema "ni huo unyama wa kuukatakata mwili vipande"!

Kariri neno hili la hekima: "ukishavunja mwiko, mengine yote yanakuwa halali"!
 
..........Duniani hapa kuna maajabu, hii kitu huwa inatokea kwenye familia kaka na dada kuoana. Kuna mdada mmoja aliolewa na kaka yake tumbo moja hadi familia imewatenga hadi leo hii.
 
Tumsaidieni huyu dada jamani....


This is so wrong and an abomination! The sins of the father shall be passed down to the son. Ukichunguza kwa makini the father must have done something sooooooooooo wrong. The mothers of these children know the truth.

Wengine wanawatelekeza wanawake waliozaa nao halafu they start a new family not remembering hawajawatambulisha watoto...these things happen. Then who will you blame? Men with behaviour of impregnating women and running away, always remember you could be culprits of such situations.
 
Inakuwaje mtu ukampenda kaka yako kimapenzi? inasikitisha sana
 
huu siyo muda wa kuuliza, ulitakiwa kuuliza wakati huo kaka yako anakutongoza, kwamba umkubali au lah? mshafanya uozo harafu, ni ajabu mkioana?
hata hivyo kwa kuwa ni Waislamu siyo mbaya kwa kuwa inaonekana huo uislamu hauna haya na ndiyo mafundisho yake hayo, kama siyo mmeyapata wapi?
 
Tukio hili linanikumbusha huku Mbeya mtaani kwetu kuna Kaka na Dada kama ilivyo thread hii walikuwa na mchezo wao kama huu, baadaye ikagundulika dada kapewa mimba na kaka yake. Baada ya hapo wote walikunywa sumu na kufariki siku hiyo hiyo kwa masaa tofauti.

Na hawa isije kuwa hivyo. Hebu waache kabisa tabia hiyo.
 
Inakuwaje mtu ukampenda kaka yako kimapenzi? inasikitisha sana
ndugu wa ukweli ni mtoto wa dada kwani dada hasingiziwi mtoto, lakini baba anaweza kuletewa mtoto aso wake, na ndiyo maana hawa walikuwa kinyume na lile neno....'damu nzito kuliko maji'
 
Tumsaidieni huyu dada jamani....

Mimi ni msichana wa miaka 23, nina kaka yangu baba mmoja na mama tofauti. Yeye ananipenda na mimi nampenda na tumekwisha wahi kufanya mapenzi mara kadhaa. Yeye ameahidi kuwa atanioa. Sisi ni Waislamu, je ni sawa tunachokifanya kama sio sawa tufanyeje?"
Hakika suala hili liko wazi kabisa katika Qur'an pale Allah Aliyetukuka Aliposema:

“Mmeharimishiwa mama zenu, na binti zenu, na dada zenu, na shangazi zenu, na khaalati zenu, na binti wa ndugu mume, na binti wa dada, na mama zenu walio kunyonyesheni, na dada zenu kwa kunyonya, na mama wa wake zenu, na watoto wenu wa kambo walio katika ulinzi wenu walio zaliwa na wake zenu mlio waingilia.... (Pia mmeharimishwa) wake wa watoto wenu walio toka katika migongo yenu. Na kuwaoa pamoja dada wawili ... Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu”
an-Nisaa’ : 23

Mara nyingi watu uteleza katika baadhi ya mambo kwa sababu huchanganya Dini ambayo imekamilika na mila na desturi za kifamilia au kikabila. Na katika suala hili la ndoa Uislamu una sheria yake ambayo inatakiwa ifuatwe na kila Muislamu. Wale wanawake ambao mwanamume au mwanamke hafai kuwaoa/kuolewa wapo wazi katika Qur'an, hivyo wasiokuwa hao anaweza kuwaoa bila ya tatizo lolote. Je, hao wanawake ni wapi? Wao ni kama wafuatao:

1. Mama zenu.

2. Wanawake walio olewa na baba zenu (mama wa kambo).

3. Binti zenu.

4. Dada zenu (shaqiqi, kwa mama tu au kwa baba tu).

5. Shangazi zenu.

6. Halati zenu (mama mdogo).

7. Binti wa kaka zenu.

8. Binti wa dada zenu.

9. Mama waliowanyonyesha.

10. Dada zenu kwa kunyonya.

11. Mama wa wake zenu.

12. Watoto wenu wa kambo (wazawa wa wake zenu kwa mume mwengine).

13. Wake wa watoto wenu (muliowazaa).

14. Dada wawili kwa wakati mmoja.

15. Na wanawake ambao wameolewa
(4: 22 – 24).

Kipengele cha suala lenu ni “Na Baba mmoja”. Binti wa baba yako akiwa baba yake mzazi ni Baba yako Mazazi... Hata kama mama ni tofauti, au baba tu au shaqiqi huwa hufai kumuoa kisheria.

Na hivyo ndivyo nyinyi ni ndugu kwa baba tu, basi haifai kwako kumuoa.



Allah Yaalam
 
Huu sasa ugonjwa na laana juu. Sidhani kama kuna dini au tamaduni yoyote inaruhusu kitu kama hicho. Nadhani mnahitaji councelling. Kawaelezeni wazazi wenu mliyoyafanya na majibu mtakayopata basi fanyeni vivyo hivyo!
 
Mhh nendeni kawaelezeni wazazi wenu nia na madhumuni yenu, majibu wakatayo wapa ni motisha tosha kabisaa!

wengine wazazi wao mama zao baba zao ndio jf
tuwasaidiaje???MR
 
Kumbu kumbu la torati 27:1-26

na alaaniwe amdharauye baba au mama yake na watu wote waseme amina

alaaniwe aondoaye mpaka wa jirani yake watu waseme amen

alaaniwe ampotezaye kipofu akakosa njia watu waseme amen

alaaniweapotoaye hukumu ya mjane ama yatima watu wote waseme amina

alaaniwe alalae na mke wa baba yake kwa kuwa amefunua mavazi ya baba yake

alaaniwe allalae na wanyama

alaaniwe alalae na umbu lake,binti ya baba yake au binti ya mama yake

alaaniwe alalaye na mkwewe mamaye mkewe
alaaniwe asieyaweka maneno ya torati hii imara na wote waseme amina

kaz kwake
 
Katika kile kinachodhihirisha mmomonyoko mkubwa wa maadili katika jamii yetu, vijana wawili mkoani Arusha wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumlawiti kisha kumyonga hadi kufa kaka yao wa kuzaliwa tumbo moja, vijana hao wamekiri hadharani kufanya tukio hilo lisilo la kawaida ambalo sababu yake haijajulikana bado.
__________________
HIKI NDICHO KITAKACHOWAFWATA BAADA YA NDOA YENU
 
...mnh,
Mydear nawe ushaanza 'siasa kali?' 🙂
Dini ya Uislamu hairuhusu ndugu wa baba/mama mmoja kuoana, wala kujamiiana,...
Nisamehe lovie si kwamba nimeanza siasa kali hapana laaziz
Nimesema kwa kuwa nimewaona wengi wanafanya ya hivyo nikadhani inaruhusiwa kumbe wafanyao ni mahulka yao tu!!

Mie wangu alitoka na mtoto wa mjomba wake kabisa!! au ndo mambo ya Binamu nyama ya hamu?
 
Hakika suala hili liko wazi kabisa katika Qur'an pale Allah Aliyetukuka Aliposema:

“Mmeharimishiwa mama zenu, na binti zenu, na dada zenu, na shangazi zenu, na khaalati zenu, na binti wa ndugu mume, na binti wa dada, na mama zenu walio kunyonyesheni, na dada zenu kwa kunyonya, na mama wa wake zenu, na watoto wenu wa kambo walio katika ulinzi wenu walio zaliwa na wake zenu mlio waingilia.... (Pia mmeharimishwa) wake wa watoto wenu walio toka katika migongo yenu. Na kuwaoa pamoja dada wawili ... Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu”
an-Nisaa’ : 23

Mara nyingi watu uteleza katika baadhi ya mambo kwa sababu huchanganya Dini ambayo imekamilika na mila na desturi za kifamilia au kikabila. Na katika suala hili la ndoa Uislamu una sheria yake ambayo inatakiwa ifuatwe na kila Muislamu. Wale wanawake ambao mwanamume au mwanamke hafai kuwaoa/kuolewa wapo wazi katika Qur'an, hivyo wasiokuwa hao anaweza kuwaoa bila ya tatizo lolote. Je, hao wanawake ni wapi? Wao ni kama wafuatao:

1. Mama zenu.

2. Wanawake walio olewa na baba zenu (mama wa kambo).

3. Binti zenu.

4. Dada zenu (shaqiqi, kwa mama tu au kwa baba tu).

5. Shangazi zenu.

6. Halati zenu (mama mdogo).

7. Binti wa kaka zenu.

8. Binti wa dada zenu.

9. Mama waliowanyonyesha.

10. Dada zenu kwa kunyonya.

11. Mama wa wake zenu.

12. Watoto wenu wa kambo (wazawa wa wake zenu kwa mume mwengine).

13. Wake wa watoto wenu (muliowazaa).

14. Dada wawili kwa wakati mmoja.

15. Na wanawake ambao wameolewa
(4: 22 – 24).

Kipengele cha suala lenu ni “Na Baba mmoja”. Binti wa baba yako akiwa baba yake mzazi ni Baba yako Mazazi... Hata kama mama ni tofauti, au baba tu au shaqiqi huwa hufai kumuoa kisheria.

Na hivyo ndivyo nyinyi ni ndugu kwa baba tu, basi haifai kwako kumuoa.



Allah Yaalam

Mbona hapa hawajakataza dada na kaka kuoana.........?
 
Back
Top Bottom