Hata asipokumbuka mradi ulimsaidia na hakuadhirika.Wengine hawakumbuki.
Waambie hao mamii.Sasa mnakufuru, mnatafsiri aya inayoongelea mke kwa hawara!
Ajabu.
Sasa mnakufuru, mnatafsiri aya inayoongelea mke kwa hawara!
Ajabu.
Duu kweli wanadamu tupo tofauti sana ,kwangu mimi ni Mungu ,Mama yangu the rest wanafuatayour wife should come before your mother and the same more to your siblings.
unapofunga ndoa umeachana na familia yako rasmi ila kuna matatizo ya msingi wewe kushiriki kama vile mama au baba anaumwa na hata ndugu ktk hali mbaya ya maradhi,msiba na kama kuna mkwamo wa kifedha kwa walioko shule lakini unatakiwa kuwa kama the last alternative na sio tegemeo lao.to me my wife comes first before my mother and my whole family.
Unamaanisha ile kuwa mwanamume ataiacha familia yake naye ataambana na mke wake?Kama mnamtegemea sana bro inabidi mjipange.
Theoretically yes but practically mama akiumwa na wewe ndiyo mtoto wakiume inabidi mkono uingie mfukoni mkuu.Unamaanisha ile kuwa mwanamume ataiacha familia yake naye ataambana na mke wake?
Theoretically yes but practically mama akiumwa na wewe ndiyo mtoto wakiume inabidi mkono uingie mfukoni mkuu.
I agree with you 100%Sisi familia ndiyo social security fund, ukimsaidia mdogo wako umewekeza.
I agree with you 100%[/QU
Waafrika lazima tujue kuwa hatuwezi kuendelea kwa kutupilia mbali hata zile tamaduni ambazo zina positive impact.Hii kitu eti kila mtu na familia yake imetuharibia sana jamii yetu.Hata hii disaster ya ukosefu wa maadili mema kwenye jamii yetu chanzo ni hicho.Zamani mtoto alikuwa ni wa ukoo,mtaa,kijiji.Leo mtoto wangu ni kwangu na mke wangu.Unategemea mtoto aliyelelewa kwa mtindo huo ataacha kuendeleza utamaduni huo kama huyo binti anayeongelewa kwenye huu uzi?
Kwa hiyo koo za Kiafrika ndio zinapaswa kuwa
Primary Social Funds.
Shost ndiyo maana watu wa fake ID, you're free to pour your heart out.hiyo family yenu mawifi watakua na kazi ya ziada yani kitu kidogo tu ivo umefikisha JF na si ajabu mshakaa hadi vikao vya ukoo duuhh [emoji36]
heshima iwepo please nini maana ya neno shostShost ndiyo maana watu wa fake ID, you're free to pour your heart out.
Shogaheshima iwepo please nini maana ya neno shost
The only day she will ever come before my mother is the day she becomes my mother which is impossible. No woman/human will ever take the place of my old lady. She is the only person im so certain that will be there for me at my very extreme worst. My wife is just my wife, I will luv her and cherish her but not as I would my mother, period.your wife should come before your mother and the same more to your siblings.
unapofunga ndoa umeachana na familia yako rasmi ila kuna matatizo ya msingi wewe kushiriki kama vile mama au baba anaumwa na hata ndugu ktk hali mbaya ya maradhi,msiba na kama kuna mkwamo wa kifedha kwa walioko shule lakini unatakiwa kuwa kama the last alternative na sio tegemeo lao.to me my wife comes first before my mother and my whole family.
Ndiyo maana mwanamume humwacha baba yake na mama yake, akaambatana na mkewe, nao wawili huwa mwili mmoja.
Asante!Sasa mnakufuru, mnatafsiri aya inayoongelea mke kwa hawara!
Ajabu.