Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba urudie sentence hii kwa herufi kubwa na bold juu[emoji122][emoji122][emoji122]Mindset ya kimalaya
Ni upumbavu kutafuta pesa kwa ajiri ya kumfurahisha mwanamke
Ila ni werevu kutafuta pesa kwa ajili ya kumfurahisha mwanaume mwenzio😅Ni upumbavu kutafuta pesa kwa ajiri ya kumfurahisha mwanamke
Hayo Ni yako mkuuIla ni werevu kutafuta pesa kwa ajili ya kumfurahisha mwanaume mwenzio[emoji28]
Ndo maana wazungu wanatwambia tuna akili ndogo. Fedha ni sabuni ya roho na hilo hakuna mtu asiyejua, fedha inaongeza uhuru wa kuchagua nini ufanye, nini ule na saa ngapi. Lakini bado anatokea mtu anaamua kupinga!!Ajaeleza Sana but the message is straight, Huyu jamaa Ni genius! Sasa wavivu wa kutafuta hela hamuwezi kumuelewa!
Endelea kutafuta pesa ili kufurahisha wanaume wenzioHayo Ni yako mkuu
Kamwe siwezi kutumia nguvu nyingi kutafuta pesa ili nimrishishe mwanamke
Kuna maskini, yatima na wajane wengi tu wanahitaji msaada
Endeleeni kutafuta pesa kwa ajiri ya nyuchi
Kuwa na adabuEndelea kutafuta pesa ili kufurahisha wanaume wenzio