Kaka zangu tafuteni pesa

Kaka zangu tafuteni pesa

Me too

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2015
Posts
7,388
Reaction score
9,333
Ukweli mchungu


FB_IMG_16443130867838841.jpg

Pesa ndio kila kitu


FB_IMG_16443131835826477.jpg


Hata ukiipata ukiwa kikongwe utainjoi tu, haijalishi usaliti ila utapata utakacho.

FB_IMG_16443131683797864.jpg
 
Rungu Nyama ndo mpango Mzima[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Mbona wengi ni kama mmepinga ni kweli hamzitafuti mmepigwa na chuma kizito[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], ukiipata hela unakula unachokitaka hela ina manupalation ya kutosha na usipokua na hela unakula kile ulichokikuta kwenye plate.. Hela nifaraja ya kutosha
 
Ni upumbavu kutafuta pesa kwa ajiri ya kumfurahisha mwanamke

Unamfurahisha mwanamke au atakufurahisha wewe, hela inakupa kila kitu unachokitaka hapa duniani hiyo ni mind set ya kimasikini ya kusema unatafuta pesa umfurahishe mwanamke[emoji1787][emoji1787], ukiwa na hela wao wenyewe watajileta utachagua tu yupi akupe furaha wakati ktk maisha yako, mwanamke ana utamu wake banah unawezaje kumuweka pembeni
 
Ila ni werevu kutafuta pesa kwa ajili ya kumfurahisha mwanaume mwenzio[emoji28]
Hayo Ni yako mkuu

Kamwe siwezi kutumia nguvu nyingi kutafuta pesa ili nimrishishe mwanamke
Kuna maskini, yatima na wajane wengi tu wanahitaji msaada

Endeleeni kutafuta pesa kwa ajiri ya nyuchi
 
Ajaeleza Sana but the message is straight, Huyu jamaa Ni genius! Sasa wavivu wa kutafuta hela hamuwezi kumuelewa!
Ndo maana wazungu wanatwambia tuna akili ndogo. Fedha ni sabuni ya roho na hilo hakuna mtu asiyejua, fedha inaongeza uhuru wa kuchagua nini ufanye, nini ule na saa ngapi. Lakini bado anatokea mtu anaamua kupinga!!
 
Hayo Ni yako mkuu

Kamwe siwezi kutumia nguvu nyingi kutafuta pesa ili nimrishishe mwanamke
Kuna maskini, yatima na wajane wengi tu wanahitaji msaada

Endeleeni kutafuta pesa kwa ajiri ya nyuchi
Endelea kutafuta pesa ili kufurahisha wanaume wenzio
 
wanaume wengi tungekua na pesa hawa wanawake wasingepata wa kudate nao maana wengi ni wabovu tungeenda kudate warembo latin huko tunadate na watu kama wewe sababu hatuna pesa na msitake tuzipate sababu tutawaacha.
 
Back
Top Bottom