Kaka zangu tafuteni pesa

wanaume wengi tungekua na pesa hawa wanawake wasingepata wa kudate nao maana wengi ni wabovu tungeenda kudate warembo latin huko tunadate na watu kama wewe sababu hatuna pesa na msitake tuzipate sababu tutawaacha.
Kama haka ka@Noelia
 
ukiona hivo ujue bado wanakula ugali wa shemeji, hawajajua pesa inavoleta heshima, inarahisisha mengi sana.
 
huyu hatofautiani na hawa
 
wanaume wengi tungekua na pesa hawa wanawake wasingepata wa kudate nao maana wengi ni wabovu tungeenda kudate warembo latin huko tunadate na watu kama wewe sababu hatuna pesa na msitake tuzipate sababu tutawaacha.
ukumbuke nawe una udhaifu wako wakukunusuru ni pesa sijui umeelewa
 
Ndo maana wazungu wanatwambia tuna akili ndogo. Fedha ni sabuni ya roho na hilo hakuna mtu asiyejua, fedha inaongeza uhuru wa kuchagua nini ufanye, nini ule na saa ngapi. Lakini bado anatokea mtu anaamua kupinga!!
😁😁 ukichunguza anaepinga akili yake ndo hiyoo
 
Kila mtu ashinde mechi kuna siku tukutane kiwanja chochote dsm, Moro, Dodoma au arusha kila mtu humu aoneshe uwezo wake walau matumizi ya milioni 2-5 kwa siku hizi kelele za nguchiro,vidampa na vibwengo wanaoisema pesa kwa ushuz tuzione
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…