Kaka zetu, hayo mabegi ni vipi kwani?

Kaka zetu, hayo mabegi ni vipi kwani?

Nikiwa nanunua bag

Naangalia Space na arrangement yake ya ndani kama itafaa kwa size ya pc yangu, mifuko mingi ya kuwekea vitu kama vidokyumenti, chenchi chenchi na hata wallet sometimes

Naangalia pia rangi na muonekano wa nje kissi tena kama hizo marcello ndio zipo basic kwa kazi kazi,

So ukiniona nimevaa ujue nina mambo yangu kichwani Ila kama akili ikitulia kiofisho utaniona na laptop bag classic kidogo

Maelezo ni marefu kiasi Ila ni kwa ajili ya kukuonesha Tu kuwa unachokiomba kwa baadhi yetu HAKIWEZEKANI
Hiyo mikoba classic ya pc ndo ikoje? Tupia hapa nichague mmoja.
Nina min hp
 
Usiwadharau aisee,majuz nipo nmb naweka 10 yangu nijihifadhie kuna jamaa aliingia na Marcello(begi) alikuwa anabadilisha pesa hizo burunguti alizotoa kwenye begi hilo..ni doooh!
Sina hizo hela but ninachokifanya ni kuwa kama niko mjini, kuna baadhi ya bidhaa naziweka humo kupunguza kubeba vifurushi vingi mkononi.
 
Muhuni acha ukorofi,we mwenyewe ndio umeniambia habari za kakiuno kashemeji ujue?
Sio ukorofi, uliposema kukosana na kaka umekosea, ni dada.

Yaani huyu shemeji ni mdogo wake mume wa dada! Mi mwenyewe nasita, mume wa dada akishtukia wanaweza wakanitimua, halafu sipendi kurudi kijijini.
 
Na sisi warugaruga ndio tunayapenda sana. Mwanaume sho shoo hakuna kuangalia warembo watasemaje. Ni mikausho mikali ya kiporipori
 
Bei yake ni rafiki na size ni kubwa unaweka vitu vingi sana
 
Sawa tutaacha, lakini na nyie mambo ya kubeba pochi nenee halafu inakua na sh mia nane sio fresh
 
Back
Top Bottom