Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Umegusa wengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo mikoba classic ya pc ndo ikoje? Tupia hapa nichague mmoja.Nikiwa nanunua bag
Naangalia Space na arrangement yake ya ndani kama itafaa kwa size ya pc yangu, mifuko mingi ya kuwekea vitu kama vidokyumenti, chenchi chenchi na hata wallet sometimes
Naangalia pia rangi na muonekano wa nje kissi tena kama hizo marcello ndio zipo basic kwa kazi kazi,
So ukiniona nimevaa ujue nina mambo yangu kichwani Ila kama akili ikitulia kiofisho utaniona na laptop bag classic kidogo
Maelezo ni marefu kiasi Ila ni kwa ajili ya kukuonesha Tu kuwa unachokiomba kwa baadhi yetu HAKIWEZEKANI
Sina hizo hela but ninachokifanya ni kuwa kama niko mjini, kuna baadhi ya bidhaa naziweka humo kupunguza kubeba vifurushi vingi mkononi.Usiwadharau aisee,majuz nipo nmb naweka 10 yangu nijihifadhie kuna jamaa aliingia na Marcello(begi) alikuwa anabadilisha pesa hizo burunguti alizotoa kwenye begi hilo..ni doooh!
Haya sasa ni matusi.. Do i sound like a teenager?Ha haaa jamani angalia kakiuno kasije vunja udugu wenu wa uchungu na Kaka yako
Sio ukorofi, uliposema kukosana na kaka umekosea, ni dada.Muhuni acha ukorofi,we mwenyewe ndio umeniambia habari za kakiuno kashemeji ujue?
Hapa umemuwezaKama nanyi mnavyokuwa na mabegi makuubwa hayana nauri yamejaa tissue tu.
Kumbe mnatufanyia makusudi....ila sawa cha msingi mbususu tunakuwa tumepataKatuwezaje?nikija kwako si Nina uhakika wa nauli ya kurudia Sasa nibebe ya Nini kwenye pochi?😜