Kaka zetu, hayo mabegi ni vipi kwani?

Kaka zetu, hayo mabegi ni vipi kwani?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu punguza hasira

Naona mtoa mada haelewi kadhia za kuwa apeche alolo[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
😂😂😂😂😂Sasa mkuu uapeche alolo na begi la Biowang vina uhusiano gani?
 
Wekeni basi hizo picha za hao Washkaji wakiwa wamebeba hayo Mabegi ya Biowang na Marcello tuwaone
Anza kuangalia kesho sehemu yenye wanaume kumi Kuna wawili Wana hizo chata.hata usingoje picha
 
Joannah wataka tubebe nini labda? APSO, HAUTTON, PAUL SMITH, POLO, LOUIS VUTTON, VERA PELLE, GUCCI, TUCANO na ndugu wote wafananao na hao?
 
Nikiwa nanunua bag

Naangalia Space na arrangement yake ya ndani kama itafaa kwa size ya pc yangu, mifuko mingi ya kuwekea vitu kama vidokyumenti, chenchi chenchi na hata wallet sometimes

Naangalia pia rangi na muonekano wa nje kissi tena kama hizo marcello ndio zipo basic kwa kazi kazi,

So ukiniona nimevaa ujue nina mambo yangu kichwani Ila kama akili ikitulia kiofisho utaniona na laptop bag classic kidogo

Maelezo ni marefu kiasi Ila ni kwa ajili ya kukuonesha Tu kuwa unachokiomba kwa baadhi yetu HAKIWEZEKANI
Jibu lako limekaa vizuri,maana nilikuwa nashangaa Sana mbona hizi Marcello zimetaradadi mjini?Ila angalau umesema una begi lingine classic.
 
Joannah wataka tubebe nini labda? APSO, HAUTTON, PAUL SMITH, POLO, LOUIS VUTTON, VERA PELLE na ndugu wote wafananao na hao?
Sio lazima hao ma designer wakubwa Kuna brand za kawaida tu,unacheki portability, durability na rangi ya kupoa,,hizo nilizozitaja zimetuna san
 
Usiwadharau aisee,majuz nipo nmb naweka 10 yangu nijihifadhie kuna jamaa aliingia na Marcello(begi) alikuwa anabadilisha pesa hizo burunguti alizotoa kwenye begi hilo..ni doooh!
kumbe ni wewe mama ulikuwa unaniangalia pale, wow!
 
Sio lazima hao ma designer wakubwa Kuna brand za kawaida tu,unacheki portability, durability na rangi ya kupoa,,hizo nilizozitaja zimetuna san

Nimekupata, nishaelewa unataja zile bagbacks za kichina zipo kwa wingi sana mjini...ziko stiff hivi huwa na vimajina vya brands kama metal tags fulani...
 
Jamani najua mko poa!

Hivi siku hizi kila Kaka huku mjini naona kabeba begi mgongoni,hayo mabebi Ni makubwaa Sana,na yamekaa kishamba shamba hivi,mengi Yao yameandikwa Biowang mengine Marcello,yaani unakuta mkaka mzuri,msafii kapendeza halafu kabeba li Biowang mgongoni,hivi mnawekaga nini humo jamaniiiiiiii?

Itoshe kusema tu hayawapendezi,mnaharibu Sana muonekano wenu na hayo ma Biowang mnakuwa Kama mmetoka Mbwinde bwana....hata Kama Ni laptops tafuteni mabegi mazuri,kwanza wengine hamna hata laptops Kuna makaratasi tu humo,Basi tu Tanzania likizuka Jambo basi Ni nongwa Kama wadada na vijora....
Acheni kumtajirisha Biowang na Marcello.
Asante kwa kuelewa
Mwanaume popote kambi
Bag zina shuka, nguo za kubadilisha, viatu, mswaki, mafuta, pasi incase tukienda kwa mchepuka tubadili hatutaki kuacha nguo kwa mchepuko wanaroga
 
Back
Top Bottom