Kaka zetu, hayo mabegi ni vipi kwani?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu punguza hasira

Naona mtoa mada haelewi kadhia za kuwa apeche alolo[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
😂😂😂😂😂Sasa mkuu uapeche alolo na begi la Biowang vina uhusiano gani?
 
Wekeni basi hizo picha za hao Washkaji wakiwa wamebeba hayo Mabegi ya Biowang na Marcello tuwaone
Anza kuangalia kesho sehemu yenye wanaume kumi Kuna wawili Wana hizo chata.hata usingoje picha
 
Joannah wataka tubebe nini labda? APSO, HAUTTON, PAUL SMITH, POLO, LOUIS VUTTON, VERA PELLE, GUCCI, TUCANO na ndugu wote wafananao na hao?
 
Jibu lako limekaa vizuri,maana nilikuwa nashangaa Sana mbona hizi Marcello zimetaradadi mjini?Ila angalau umesema una begi lingine classic.
 
Joannah wataka tubebe nini labda? APSO, HAUTTON, PAUL SMITH, POLO, LOUIS VUTTON, VERA PELLE na ndugu wote wafananao na hao?
Sio lazima hao ma designer wakubwa Kuna brand za kawaida tu,unacheki portability, durability na rangi ya kupoa,,hizo nilizozitaja zimetuna san
 
Usiwadharau aisee,majuz nipo nmb naweka 10 yangu nijihifadhie kuna jamaa aliingia na Marcello(begi) alikuwa anabadilisha pesa hizo burunguti alizotoa kwenye begi hilo..ni doooh!
kumbe ni wewe mama ulikuwa unaniangalia pale, wow!
 
Sio lazima hao ma designer wakubwa Kuna brand za kawaida tu,unacheki portability, durability na rangi ya kupoa,,hizo nilizozitaja zimetuna san

Nimekupata, nishaelewa unataja zile bagbacks za kichina zipo kwa wingi sana mjini...ziko stiff hivi huwa na vimajina vya brands kama metal tags fulani...
 
Mwanaume popote kambi
Bag zina shuka, nguo za kubadilisha, viatu, mswaki, mafuta, pasi incase tukienda kwa mchepuka tubadili hatutaki kuacha nguo kwa mchepuko wanaroga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…