Kakobe "Tanganyika huru lazima ipatikane, Nyerere sio Mungu naye alikuwa na mapungufu yake"

Kakobe "Tanganyika huru lazima ipatikane, Nyerere sio Mungu naye alikuwa na mapungufu yake"

Neno askofu linatumika vibaya. Kila anayeibuka anajiita askofu. Hao 32 ni wepi? Ili uwe askofu si mchezo. Askofu ni phd holder.

Hiyo qualification uliiona wapi mkuu.Halafu Mhariri wa Gazeti ni lazima ujue kuandika.Ni Ph.D na sio phd.
 
Hao maaskofu ni wa madhehebu gani? Baba yetu Pengo ameshatoa msimamo wake. Wengine ni wapiga mayowe tu

kwa taarifa yako msemaji wa wakaoliki ni rais wa baraza la maaskofu baada ya kufanya kikao cha maaskofu wote hata waliostafu na pengo ni mjumbe wa kawaida tu kama hujui Pengo ni mwakilishi wa baba mtakatifu nchini tanzania na sio msemaji wa kanisa
 
Kwani hao maaskofu waliotoa Kauli za kipuuzi akiwemo Kakobe wametumwa na waumini wao? Acheni kuwashabikia hawa wachumia tumbo
wewe ndo mchumia tumbo tena utuachie maaskofu wetu wanahaki ya kuwakanya watawala
 
kweli mwaka huu ccm wanalo kwa mara ya kwanza maskofu na mashekh kuwa na msimamo mmoja(waislam na wakristo) ccm tunakazi
 
Kweli PhD inaitajika lakini siyo lazima kwani Bill Gate hakuitaji PhD kwanza kuasisi hiyo program unatumia kupost ujumbe wako
Mkuu, kwani kuna akina Bill Gates wangapi? Unaweza kulinganisha na Maaskofu? Uaskofu si jina bali mtu huupata kwa kusomea na aili uwe askofu, unapaswa kuwa na kiwango fulani cha elimu kama Manyerere alivyosema
 
kweli mwaka huu ccm wanalo kwa mara ya kwanza maskofu na mashekh kuwa na msimamo mmoja(waislam na wakristo) ccm tunakazi
CCM ni chama tawala na hao wanaopiga mayowe wapo chini ya itawala wa CCM.
 
wewe ndo mchumia tumbo tena utuachie maaskofu wetu wanahaki ya kuwakanya watawala
Hahahahahaaaaa! Mtahangaika sana na hao mawakala wa Shetani. CCM ndo chama kilichopewa ridhaa ya kuongoza nchi hii
 
Hizi double standard za nchi hii inakera sana! Viongozi wa Kiislam wakizungumza mambo yenye kugusa maslahi ya wananchi wanaambiwa wasichanganye mambo ya DINI na SIasa, Akina Sheikh Ponda, Faridi wakiendesha harakati za kuwakomboa Waislam kudai Zanzibar Huru wanaambiwa ni magaidi wanafanyiwa fitna tena na vyombo vya usalama! ...Nakubaliana na Mhe Lisu 100% nchi hii imejengwa katika misingi ya Uwongo ... Inakuwaje jambo lile lile akizungumza Muislam inaonekana la kigaidi, akizungumza Mkristo linaonekana linatija?... Wengine kama akina Lukuvi wao wameenda to the extreme! Mbona kimya? ... "Watanzania tutaangamia soon kwa kukosa maarifa" Something should be done ASAP...
 
duh.....jamaa amesahau kuwa nguzo za umeme
zilitakia kupita katikati ya kanisa akasamehewa
sasa hivi hawa jamaa watasema eneo lile ni open space
 
Neno askofu linatumika vibaya. Kila anayeibuka anajiita askofu. Hao 32 ni wepi? Ili uwe askofu si mchezo. Askofu ni phd holder.

hayo ni kwa mujibu wa nini....?? biblia inatoa hyo sifa ndo uwe askofu au mihemko yako???? 1TIMOTHEO 3:1-7
 
Duuh,kweli Interahamwe wametingwa,Lizaboni anatamani kupasuka maana anajua mda si mrefu mpunga utakata maana uwakala wao wa kishetani ndiyo unaenda kuteketea.
 
Back
Top Bottom