mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Haki yoyote inadaiwa kwa utaratibu mkuu,,, c kwa kukiuka utaratibu,,,,, wachezaji weng wanadai stahiki zao ila kwa utaratibu maalum
Binafc nampongeza kocha kwa alichokifanya kwa kakolanya na ni funzo tosha kwa wachezaj wengine,,,,
Dirisha limefungwa,,, na kocha hamtak,, nadhan avunje tu mkataba
Ni sahihi kudai haki yake, lakini kanuni ya dhahabu (golden rule) ni kutochukua sheria mikononi. Ndio maana unapomdhuru mwizi wa mali yako unaadhibiwa licha ya kuwa mwizi huyo alikukosea. Lakini usisahau na mwalimu naye anastahiki kutendewa haki na mchezaji. Kutoweka kambini bila ya kuwasiliana naye ni kumnyima haki hiyo. Naye ana haki ya kuidai, na ndivyo alivyofanya. Kwamba ili aridhike, mchezaji huyo atafutiwe timu nyengine au yeye aondoke. Kumbuka hajamfukuza Kakolanya, ameupa uongozi chaguo (options). Kwa hivyo mkuu si sahihi kusema kwamba Kakolanya kafukuzwa kwa kudai haki yake, la hasha. Ni kwamba Kakolanya amemkosea Mwalim na klabu ikaridhika na pendekezo la kuondoka yeye badala ya Mwalim. Klabu haijakataa kwamba anaidai haki zake, wala haiwezi kukwepa wajibu wa kumlipa.
Aidha, hiyo TFF unayoisema ingekuwa katika nafasi bora zaidi ya kumtetea kama angekimbilia huko kabla ya kuchukua sheria mikononi mwake. Mtu akishafariki hatibiwi, hufanyiwa uchunguzi kujua sababu ya kifo. Kakolanya ndiyo alishatoroka kwenye timu yake, TFF haiwezi kusema kuwa hakutoroka madhali uamuzi wa kutoroka haukufanywa kwa amri wala ridhaaa ya TFF ambayo haikuwa hata na Taarifa ya awali kwamba mchezaji mwenyewe amedhamiria kususia. Kwa hivyo haiwezi kuingilia swala la kitaratibu baina ya mchezaji na Mwalim. Inaweza tu kufanya uchunguzi juu ya ukubwa wa kosa lenyewe ili isaidie kuwashauri vizuri wasusiaji watarajiwa, lakini haiwezi kutia mkono maamuzi ya Mwalim wa timu iliyotorokwa.
Wamgelalamika kupitia ngazi na taratibu husika, ambazo zungeishia na wao kuvunja mkataba kama ingelazimu.Hivi huyo mwalimu au hao viongozi wangecheleheshewa mishahara yao wangeendelea kufanya kazi yanga?
Hakuna nafasi ngumu kwenye mpira kama golikipa...Zahera amrudishe Benno au ataondoka yeye...Mbona wenzake pia wanadai stahiki zao na hawakugoma?
100% nakubaliana na wewe, kuishi na MTU mnafika ni hatari sana, uchochezi kwao ni jambo lisilokwepeka, hawafai hata kidogo.Do not be that much biased, coach hawezi vunja mkataba! Unajua agent wa kalolanya ni simba! It seems mna ajenda ya siri kuihujumu yanga kama mnavyomhujumu JPM
huyo jpm anajihujumu mwenyewe kwa kujifanya mjuaji
Unaujuwa mkataba was Beno na Yanga? Kama ndiyo endelea kupiga filimbi, kama siyo kaa kimyaa, maana kelele zako zitakuwa ni unafiki mtupu.Haki ya BENO haiwezi kupotea kwa vitisho vya kocha... alipwe stahiki zake ni haki yake.
Yanga sio timu ya shule ilipe watu
Mbona hata Ninja atadaka Ikibidi na pwenti tatu ziko pale pale. Yanga habari nyingine.Hakuna nafasi ngumu kwenye mpira kama golikipa...Zahera amrudishe Benno au ataondoka yeye...
Wamgelalamika kupitia ngazi na taratibu husika, ambazo zungeishia na wao kuvunja mkataba kama ingelazimu.
Kwenye hili nakuunga mkono ila unaudhi pale unapompinga JPM wa watuMbona hata Ninja atadaka Ikibidi na pwenti tatu ziko pale pale. Yanga habari nyingine.
Mkuu mbona unakariri kitu hichohicho kilichokwishafafanuliwa? Tunazungumzia lililotokea, la Kakolanya, hatuzungumzii lisilotokea la viongozi kutolipwa. Tunazungumzia namna ya Kakolanya kudai Haki yake kuwa si sahihi, hatuzungumzii kwamba Kakolanya hana haki ya kudai. Tunazungumzia uhalisia wa mambo, hatuzungumzii mahaba yangu wala chuki zako.Kwa hyo viongozi wanalipana kwa wakati,ila wachezaji hapana,wakidai haki zao mnaona ni utovu wa nidhamu.hata hawa wanajeshi na polisi tunaowaita wazalendo.ikitokea siku mishahara yao,imepita miezi 3 lazma pachimbike.
acheni mahaba niue.hyo ni kazi kama kazi nyingine.beno hajakurupuka.
Bali alivumilia sana ila mlikuwa.mnamzungusha.
MPIRA PESA.
Mkuu mbona unakariri kitu hichohicho kilichokwishafafanuliwa? Tunazungumzia lililotokea, la Kakolanya, hatuzungumzii lisilotokea la viongozi kutolipwa. Tunazungumzia namna ya Kakolanya kudai Haki yake kuwa si sahihi, hatuzungumzii kwamba Kakolanya hana haki ya kudai. Tunazungumzia uhalisia wa mambo, hatuzungumzii mahaba yangu wala chuki zako.
Kwa hyo viongozi wanalipana kwa wakati,ila wachezaji hapana,wakidai haki zao mnaona ni utovu wa nidhamu.hata hawa wanajeshi na polisi tunaowaita wazalendo.ikitokea siku mishahara yao,imepita miezi 3 lazma pachimbike.
acheni mahaba niue.hyo ni kazi kama kazi nyingine.beno hajakurupuka.
Bali alivumilia sana ila mlikuwa.mnamzungusha.
MPIRA PESA.
Do not be that much biased, coach hawezi vunja mkataba! Unajua agent wa kalolanya ni simba! It seems mna ajenda ya siri kuihujumu yanga kama mnavyomhujumu JPM[/QUOTE
Halafu kwa timu kama yanga Zahera Mwinyi si mwajiri wa Kakolanya , hana uwezo wa kumtimua , ndio maana msala utakapoibuka uongozi wa Yanga ndio utawajibikaHaki ya BENO haiwezi kupotea kwa vitisho vya kocha... alipwe stahiki zake ni haki yake.
Yanga sio timu ya shule ilipe watu