mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
sasa si walipwe.shida ni nini?
au ndo UKITAKA UBAYA DAI,CHAKO.
au ndo UKITAKA UBAYA DAI,CHAKO.
Haki yoyote inadaiwa kwa utaratibu mkuu,,, c kwa kukiuka utaratibu,,,,, wachezaji weng wanadai stahiki zao ila kwa utaratibu maalum
Binafc nampongeza kocha kwa alichokifanya kwa kakolanya na ni funzo tosha kwa wachezaj wengine,,,,
Dirisha limefungwa,,, na kocha hamtak,, nadhan avunje tu mkataba