Kakonko: Makusanyo kwa mwaka ni Tsh. Milioni 539, lakini Ujenzi wa nyumba ya Mkuu wa Wilaya umetengewa Tsh. milioni 700

Kakonko: Makusanyo kwa mwaka ni Tsh. Milioni 539, lakini Ujenzi wa nyumba ya Mkuu wa Wilaya umetengewa Tsh. milioni 700

Serikali inabidi ipambane na ufisadi kwa njia zote.. Huu ni wizi wa wazi wazi
 
JPM asingeweza kuapprove upuuzi huo. Suala ni kwamba hii nchi ina matakataka kibao manyonyaji serikalini. Pamoja na kwamba alijitahidi kuyakemea na kuyaminya lakini bado ni mengi mno kuyamaliza si kitu rahisi. Mama asipokuwa mkali kuyashughulikia haya manyonyaji tutamshughulikia yeye. Hatuwezi kulipa kodi halafu itafunwe na majitu yasiyoweza kujilisha nje ya serikali.
Aya kipofu,, itabaki kuwa tu hiki chama changu ni wapigaji tu,, mwanzo mwisho,,CCM ni ile ile wameipenda na wataikoma
 
Aya kipofu,, itabaki kuwa tu hiki chama changu ni wapigaji tu,, mwanzo mwisho,,CCM ni ile ile wameipenda na wataikoma
Ukiutazama ufisadi kwa miwani ya uchama utachelewa sana. Kwani nje ya CCM ndio hakuna ufisadi?
 
Wakati makusanyo ya mapato katika wilaya ya Kakonko kwa mwaka 2020/21 yalikua ni Milioni 539, ujenzi wa nyumba ya mkuu wa wilaya umetengewa milioni 700. Fedha hizi ni mara tatu ya fedha zinazogharamia elimu kwa shule za msingi Kakonko

Ukarabati wa nyumba Katibu Tawala Kisarawe umetengewa milioni 130.

Fedha zinakaribia kulingana na bajeti ya sekta ya afya Kisarawe Kwa mwaka 2020/2021, milioni 150.

Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Mkuranga milioni 140 na

Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Bagamoyo milioni 120.

Fedha hizi ni zinakaribia bajeti ya sekta ya afya katika wilaya hiyo kwa mwaka 2020/2021 ambapo milioni 300 zilipelekwa kwa ajili ya ujenzi wa zahanati.
....tuendelee na nyimbo waombolezaji .....hayupoo hayupooooo ...... hayupoooo
Kazi iendelee..
 
Wakati makusanyo ya mapato katika wilaya ya Kakonko kwa mwaka 2020/21 yalikua ni Milioni 539, ujenzi wa nyumba ya mkuu wa wilaya umetengewa milioni 700. Fedha hizi ni mara tatu ya fedha zinazogharamia elimu kwa shule za msingi Kakonko

Ukarabati wa nyumba Katibu Tawala Kisarawe umetengewa milioni 130.

Fedha zinakaribia kulingana na bajeti ya sekta ya afya Kisarawe Kwa mwaka 2020/2021, milioni 150.

Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Mkuranga milioni 140 na

Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Bagamoyo milioni 120.

Fedha hizi ni zinakaribia bajeti ya sekta ya afya katika wilaya hiyo kwa mwaka 2020/2021 ambapo milioni 300 zilipelekwa kwa ajili ya ujenzi wa zahanati.
....tuendelee na nyimbo waombolezaji .....hėayupoo hayupooooo ...... hayupoooo
Ummy Mwalimu kayakanyaga
 
Anahusikaje kwani hizo nyumba zinajengwa kwake, au anajengewa yeye? Nchi kubwa wapigaji ni wengi hasa kwenye halmashauri. JPM kwa nafasi yake aliupa kipaumbele ufisadi papa wa kupiga mabilioni huko mawizarani na kwenye taasisi. Sasa mama adili na ufisadi sugu ulioko kwenye halmashauri. Ufisadi inabidi iwe vita endelevu na ya kupokezana vijiti.
Mbona hilo dogo, Je! Chato airport nalo hausiki? Twende kwenye bajeti ya ununuzi wa ndege tulinganishe na bajeti ya Afya au elimu.

Like father like son
 
Wakati makusanyo ya mapato katika wilaya ya Kakonko kwa mwaka 2020/21 yalikua ni Milioni 539, ujenzi wa nyumba ya mkuu wa wilaya umetengewa milioni 700. Fedha hizi ni mara tatu ya fedha zinazogharamia elimu kwa shule za msingi Kakonko

Ukarabati wa nyumba Katibu Tawala Kisarawe umetengewa milioni 130.

Fedha zinakaribia kulingana na bajeti ya sekta ya afya Kisarawe Kwa mwaka 2020/2021, milioni 150.

Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Mkuranga milioni 140 na

Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Bagamoyo milioni 120.

Fedha hizi ni zinakaribia bajeti ya sekta ya afya katika wilaya hiyo kwa mwaka 2020/2021 ambapo milioni 300 zilipelekwa kwa ajili ya ujenzi wa zahanati.
....tuendelee na nyimbo waombolezaji .....hayupoo hayupooooo ...... hayupoooo
" Mtamkumbuka"
 
Well done watanzania makini. Mwendazake katufungua macho hawa jamaa wakianza upuuzi tutatoana macho
 
Wakati makusanyo ya mapato katika wilaya ya Kakonko kwa mwaka 2020/21 yalikua ni Milioni 539, ujenzi wa nyumba ya mkuu wa wilaya umetengewa milioni 700. Fedha hizi ni mara tatu ya fedha zinazogharamia elimu kwa shule za msingi Kakonko

Ukarabati wa nyumba Katibu Tawala Kisarawe umetengewa milioni 130.

Fedha zinakaribia kulingana na bajeti ya sekta ya afya Kisarawe Kwa mwaka 2020/2021, milioni 150.

Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Mkuranga milioni 140 na

Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Bagamoyo milioni 120.

Fedha hizi ni zinakaribia bajeti ya sekta ya afya katika wilaya hiyo kwa mwaka 2020/2021 ambapo milioni 300 zilipelekwa kwa ajili ya ujenzi wa zahanati.
....tuendelee na nyimbo waombolezaji .....hayupoo hayupooooo ...... hayupoooo
Aisee 🤔🤔🚶🚶🚶
 
Wakati makusanyo ya mapato katika wilaya ya Kakonko kwa mwaka 2020/21 yalikua ni Milioni 539, ujenzi wa nyumba ya mkuu wa wilaya umetengewa milioni 700. Fedha hizi ni mara tatu ya fedha zinazogharamia elimu kwa shule za msingi Kakonko

Ukarabati wa nyumba Katibu Tawala Kisarawe umetengewa milioni 130.

Fedha zinakaribia kulingana na bajeti ya sekta ya afya Kisarawe Kwa mwaka 2020/2021, milioni 150.

Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Mkuranga milioni 140 na

Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Bagamoyo milioni 120.

Fedha hizi ni zinakaribia bajeti ya sekta ya afya katika wilaya hiyo kwa mwaka 2020/2021 ambapo milioni 300 zilipelekwa kwa ajili ya ujenzi wa zahanati.
....tuendelee na nyimbo waombolezaji .....hayupoo hayupooooo ...... hayupoooo
Hiyo nyumba ni ya kuishi au ofisi mkuu?pesa yote hii ni nyumba ya aina gani hiyo.huu ni aina nyingine ya ufisadi.Tutajuta.
Wakati makusanyo ya mapato katika wilaya ya Kakonko kwa mwaka 2020/21 yalikua ni Milioni 539, ujenzi wa nyumba ya mkuu wa wilaya umetengewa milioni 700. Fedha hizi ni mara tatu ya fedha zinazogharamia elimu kwa shule za msingi Kakonko

Ukarabati wa nyumba Katibu Tawala Kisarawe umetengewa milioni 130.

Fedha zinakaribia kulingana na bajeti ya sekta ya afya Kisarawe Kwa mwaka 2020/2021, milioni 150.

Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Mkuranga milioni 140 na

Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Bagamoyo milioni 120.

Fedha hizi ni zinakaribia bajeti ya sekta ya afya katika wilaya hiyo kwa mwaka 2020/2021 ambapo milioni 300 zilipelekwa kwa ajili ya ujenzi wa zahanati.
....tuendelee na nyimbo waombolezaji .....hayupoo hayupooooo ...... hayupoooo
 
Hahaha kweli upigaji hautakaa uishe. Hiyo 700 million anajengewa mansion au?
... zinajengwa palace za kutosha wilayani huko. Viongozi hawawezi kuishi kwenye vijumba vya ovyo ovyo. Hata marais wastaafu walikabidhiwa zao na mwendazake.
 
Wakati makusanyo ya mapato katika wilaya ya Kakonko kwa mwaka 2020/21 yalikua ni Milioni 539, ujenzi wa nyumba ya mkuu wa wilaya umetengewa milioni 700. Fedha hizi ni mara tatu ya fedha zinazogharamia elimu kwa shule za msingi Kakonko

Ukarabati wa nyumba Katibu Tawala Kisarawe umetengewa milioni 130.

Fedha zinakaribia kulingana na bajeti ya sekta ya afya Kisarawe Kwa mwaka 2020/2021, milioni 150.

Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Mkuranga milioni 140 na

Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Bagamoyo milioni 120.

Fedha hizi ni zinakaribia bajeti ya sekta ya afya katika wilaya hiyo kwa mwaka 2020/2021 ambapo milioni 300 zilipelekwa kwa ajili ya ujenzi wa zahanati.
....tuendelee na nyimbo waombolezaji .....hayupoo hayupooooo ...... hayupoooo
Sijui maudhui ya huu uzi, sababu mapato/matumizi ya nchi yanatokana na mapato jumuishi. Sio mapato ya eneo fulani ki jiografia. Miradi ya kitaifa inajengwa toka fuko kuu la hazina ndio maana ya kuwa na bajeti. Hii inasaidi yale maeneo ambayo mapato yake hayatoshelezi na kuwa na miundombinu ya maendeleo kama sehemu nyingine.
 
Duuh ,

Mapato 100,000/=

Matumizi 95,000/=

Fedha kwa ajili ya miradi ya maendeleo 5,000/=.

Typical Tanzanians , ndio tunafurahia mambo kama haya.
Hivi huoni kwamba ukiikarabati hiyo nyumba itakaa miaka kadhaa kabla hujadaiwa kuitengeneza tena? Kwa hiyo huwezi kulinganisha mapato ya mwaka mmoja na matumizi ambayo hutatakiwa kuyafanya tena mpaka baada ya miaka kadhaa. Halafu watanzania wenzangu hivi hamjui kuwa nyumba ya mkuu wa wilaya/mkoa ni ikulu ndogo? Sasa mil. 700 ni kitu gani ukijua kwamba gharama hizo zinahusu ulinzi na usalama?
 
Anahusikaje kwani hizo nyumba zinajengwa kwake, au anajengewa yeye? Nchi kubwa wapigaji ni wengi hasa kwenye halmashauri. JPM kwa nafasi yake aliupa kipaumbele ufisadi papa wa kupiga mabilioni huko mawizarani na kwenye taasisi. Sasa mama adili na ufisadi sugu ulioko kwenye halmashauri. Ufisadi inabidi iwe vita endelevu na ya kupokezana vijiti.
Unataka tuamini kuwa Jiwe alikuwa anapiga vita rushwa?Pengine kwa asiyefahamu maana ya rushwa/ufisadi.Wanasiasa walinunuliwa,Uchaguzi zilihujumiwa,manunuzi yalifanyika bila kufuata sheria,mikataba imeendelea kufanywa siri hata kwa Bunge,upendeleo kwenye miradi,ajira,teuzi nk.
Je,kwa jinsi hiyo unamtenganishaje na hayo madudu?Yakiwa vizuri/sirini(kabla ya kufichuliwa) sifa zimwendee Jiwe ila vikibainika walaumiwe watendaji?
 
Wakati makusanyo ya mapato katika wilaya ya Kakonko kwa mwaka 2020/21 yalikua ni Milioni 539, ujenzi wa nyumba ya mkuu wa wilaya umetengewa milioni 700. Fedha hizi ni mara tatu ya fedha zinazogharamia elimu kwa shule za msingi Kakonko

Ukarabati wa nyumba Katibu Tawala Kisarawe umetengewa milioni 130.

Fedha zinakaribia kulingana na bajeti ya sekta ya afya Kisarawe Kwa mwaka 2020/2021, milioni 150.

Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Mkuranga milioni 140 na

Ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala Bagamoyo milioni 120.

Fedha hizi ni zinakaribia bajeti ya sekta ya afya katika wilaya hiyo kwa mwaka 2020/2021 ambapo milioni 300 zilipelekwa kwa ajili ya ujenzi wa zahanati.
....tuendelee na nyimbo waombolezaji .....hayupoo hayupooooo ...... hayupoooo
Huu ni wizi mtupu
 
Back
Top Bottom