Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
😅Upo sahihi ! kuna kale ka-feelings yaani jamaa kapiga halafu kashindwa kumuoa hapa kuna tatizo mahali tu.Bora wewe unayetulaani sisi wazalishaji kuliko anayelaani wanaokataa kubeba mizigo ya wengine.
Hizu nguvu na kampeni wanazozitumia kushawishi watu waoe wanawake waliozalishwa na kuwaponda wanaokataa ni vyema wangezitumia kushawishi wazalishaji wawarudie wanawake zao.
We mtu ameshazalishwa na aliyemzalisha kakwepa kuwwka ndani na kutafuta mwingine, halafu mtu anakuja jitia kuherehere kujifanya yeye ataweza.
Wawarudie hao waliowazalisha wawashawishi waone kama ni inawezekana.
KaribuNaelewa asante.
Kuna jamaa alinichekesha alisema "ukimuoa mwanamke nliezaa nae nakua nakuja kwako asubuhi, mchana na jioni kumuona mtoto"🤣🤣🤣🤣Mimi nikikuzalisha labda uniachie mtoto, kinyume na hapo lazima kila wiki nikupigie wewe au mume wako mnipe maendeleo ya mtoto wangu na niwapatie maelekezo ya namna ya kumlea.
Lakini ukiniachia mtoto wala sitakua na issue na wewe, na wala hautatusikia popote pale. Zaidi nitakutakia maisha mema.
Ndiyo maana yake,😃, yaani hii ngoma hadi mbadilike tabia na kuacha kuchukulia vitu for granted😃Kuna jamaa alinichekesha alisema "ukimuoa mwanamke nliezaa nae nakua nakuja kwako asubuhi, mchana na jioni kumuona mtoto"🤣🤣🤣🤣
Msikilize Doug Supernaw (R.I.P), kuna kitu utajifunza na kukubaliana na mimi kwamba mambo si mepesi kama wengi wanavyoyaongea kirahisi rahisi. Huyu dogo unamtengaji na baba yake? Si ni kumtesa tu mtoto wako kwa tamaa zako za kutafuta sifa za kuolewa? Mimi kila week lazima nije nimchukue. Lazima utatema bungo tu na kuniachia mtoto. Kwanza sitamchukua, nakuachia ukae naye ili niwe nakujakujaKuna jamaa alinichekesha alisema "ukimuoa mwanamke nliezaa nae nakua nakuja kwako asubuhi, mchana na jioni kumuona mtoto"🤣🤣🤣🤣
Tutakagua mafile RITATunakoelekea wanawake wataanza kuvinyonga vitoto ili waolewe
Ooh! Naomba namba ya mdogo wako please, asife Moyo,Uwezi amini jamani, nina mdogo wa mwisho anamika 27 miaka mitano iliyopita alipata mtoto wa kiume. Ila aliyempa ujauzito baadae alioa mwanamke mwingine.
Mwaka jana mwezi wa 8 alimpata kaka mmoja hivi ni mzuri sana na anamaisha yake. Mimi nilimpenda sana yule kaka, mdogo wangu aliniambie huyu ndo mume anayemtaka japo hakumwambia mapema kuwa anamtoto tayari.
Ila mwezi uliopita yule kaka alimwambia kuwa anahitaji kumjua zaidi kuusu familia yake na mahusiano yake ya mwanzo kabla hawajafika deep relationship.
Mdogo wangu akasema sawa, mimi nilimwambia kuwa mwambie mapema kuwa unamtoto tayari, pia usimfiche kuhusu uliyezaa nae mwambie tuu mahusiano yashakufa na tayari yeye anamke tayari. Mwembie mtoto wako hataaribu mahusiano yenu. Pia amwambie tuu kuwa haukupanga kuwa na mtoto ilitokea tuu.
Sasa wiki iliyopita alimwambie kuwa yeye tayari anamtoto, na aliyezaa nae yani Baba mtoto hana mahusiano nae wamebaki kuhudumia tuu mtoto na kuwasiliana kuhusu mtoto tu.
Baada ya kumwambia hivyo yule kaka jamani, jioni yake hakuwa anajibu hata sms , hata akimpigia anamwambia yuko busy. Alimfanyi hivyo kama siku 4 hivi.
Sasa juzi wamekutana yule kaka jamani akamwambia kuwa wewe tayari unamtoto nje. Mimi nataka kuwa na mwanamke ambaye tutakuwa na watoto wetu tuu wa ndoa peke yake.
Nilishangaa sana alimwambie kuwa kama unamtoto tayari tutawafundisha nini watoto wetu kuwa usizae kabla ya ndoa angali wewe tayari unamtoto kabla ya ndoa.
Huo ujasiri utautoa wapi. Lakini pia hata kuwaambia watoto usizini angalie wewe mama ushazini tayari.
Mawasiliano na baba mtoto yakizidi je mimi nitafanya nini. Mdogo wangu ameniambie hivyo.
Nimeshangaa sana jamani,
Hivi nyie wanaume mtoto anatatizo gani jamani. Kwani atazuia ndoa yenu isiwe na furaha jamani.
Kwa nini inakuwa ngumu kwenu kuoa mwanamke ambaye anamtoto tayari.
ACHENI UCHOYO NA ROHO MBAYA.
Kiukweli nilitaka kuwa msomaji tu, ila wacha nikupe maua yako kwenye hii comment. Hebu kula like yako ya nguvu kwa hii point ya maana kabisa.Nipe namba ya huyo jamaa nimtumie hela ya kvant kwa maamuzi yake,, huwez nunua shamba lina makaburi ya ukoo
Kwa hatua ilipofikia, ili kumrudisha hamna budi kumloga. That is the only way, maana hakuna mwanaume mwenye akili timamu anaoa single mother nowdays.Yani tufanye juu chini asimuache huyu kaka?
Yani amkubali
Sasa shemeji ndio umekuja mpaka huku kuninanga? Ni kweli kitendo cha mdogo wako kua na mtoto kimenikata stim, mbaya zaidi bado anawasiliana na mzazi mwenzake. Nimeamua kujiongeza, mwambie aendelee na maisha yake.
Hakuna Mume wa ndoto duniani, huyo mwanaume atakuwa member, tulisema hakuna kaburi, hakuna kuoa single Mama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Sasa shemeji ndio umekuja mpaka huku kuninanga? Ni kweli kitendo cha mdogo wako kua na mtoto kimenikata stim, mbaya zaidi bado anawasiliana na mzazi mwenzake. Nimeamua kujiongeza, mwambie aendelee na maisha yake.
Sasa unalazimisha mtu apende asichopenda?Uwezi amini jamani, nina mdogo wa mwisho anamika 27 miaka mitano iliyopita alipata mtoto wa kiume. Ila aliyempa ujauzito baadae alioa mwanamke mwingine.
Mwaka jana mwezi wa 8 alimpata kaka mmoja hivi ni mzuri sana na anamaisha yake. Mimi nilimpenda sana yule kaka, mdogo wangu aliniambie huyu ndo mume anayemtaka japo hakumwambia mapema kuwa anamtoto tayari.
Ila mwezi uliopita yule kaka alimwambia kuwa anahitaji kumjua zaidi kuusu familia yake na mahusiano yake ya mwanzo kabla hawajafika deep relationship.
Mdogo wangu akasema sawa, mimi nilimwambia kuwa mwambie mapema kuwa unamtoto tayari, pia usimfiche kuhusu uliyezaa nae mwambie tuu mahusiano yashakufa na tayari yeye anamke tayari. Mwembie mtoto wako hataaribu mahusiano yenu. Pia amwambie tuu kuwa haukupanga kuwa na mtoto ilitokea tuu.
Sasa wiki iliyopita alimwambie kuwa yeye tayari anamtoto, na aliyezaa nae yani Baba mtoto hana mahusiano nae wamebaki kuhudumia tuu mtoto na kuwasiliana kuhusu mtoto tu.
Baada ya kumwambia hivyo yule kaka jamani, jioni yake hakuwa anajibu hata sms , hata akimpigia anamwambia yuko busy. Alimfanyi hivyo kama siku 4 hivi.
Sasa juzi wamekutana yule kaka jamani akamwambia kuwa wewe tayari unamtoto nje. Mimi nataka kuwa na mwanamke ambaye tutakuwa na watoto wetu tuu wa ndoa peke yake.
Nilishangaa sana alimwambie kuwa kama unamtoto tayari tutawafundisha nini watoto wetu kuwa usizae kabla ya ndoa angali wewe tayari unamtoto kabla ya ndoa.
Huo ujasiri utautoa wapi. Lakini pia hata kuwaambia watoto usizini angalie wewe mama ushazini tayari.
Mawasiliano na baba mtoto yakizidi je mimi nitafanya nini. Mdogo wangu ameniambie hivyo.
Nimeshangaa sana jamani,
Hivi nyie wanaume mtoto anatatizo gani jamani. Kwani atazuia ndoa yenu isiwe na furaha jamani.
Kwa nini inakuwa ngumu kwenu kuoa mwanamke ambaye anamtoto tayari.
ACHENI UCHOYO NA ROHO MBAYA.