Kakosa Mume wa ndoto yake: Mdogo wangu wa mwisho kakosa mume kisa ana mtoto

Kifupi mwanamke ukishazalishwa, wee jua ushaharibiwa maisha yako ya ndoa
 
Hii nimeshuhudia kuna brother alioa single mother mwenye mtoto wa kike.. Sasa wamefunga ndoa imebidi wakaishi kwenye nyumba ya huyo mwanamke, sasa balaa miaka imeenda jamaa karelax kajua mapenzi moto moto yataendelea mtoto amekua sasa akaanza vitimbi vya Foolish Age.

Sasa mwanaume akitaka kuwa mkali kama baba wa mtoto kuna muda mwanamke wake anavumilia anashindwa anaingilia mzozo kwa kutetea binti yake. Yaani anaumia tena kuona binti yake akikanywa.

Binti akaanza kuwa na kiburi maana anajua kwa mama yake yupo pekee yake na huyu sio baba mzazi so mama yake hawezi ruhusu amuadhibu wataishia tu kubishana na kumjibu jeuri.

Nilikuwa namuonea huruma sana yule brother namna ambavyo inabidi awe mpole eneo ambalo alitakiwa kuwa mtawala na mwenye sauti ya mwisho ila mwanamke anamnyang'anya ile sauti na mamlaka yake ya kiume na kuyavaa yeye kuwa na final say sababu wanaishi kwenye nyumba yake, na mtoto ni wake pekee.

Aiseee.
 
Wakati anamwaga uno alikuwa hajui hatima yake au?
 
Hata mimi nimemkubali sana mwamba ana roho ya kiumeni ile yenyewe. Amejua huyu binti hatutawezana hata iweje. Wacha tu yaishe mapema, atanilaumu ila atakuja elewa maana ubaya haupo kwangu upo kwake.
 
Akunyimae Kunde....

Partnership ni mapatano / makubaliano na partnership nzuri ni symbiotic kila mtu anapata kipenda roho bila sacrifice yoyote sasa unapotaka mtu ku-sacrifice kitu kwa ajili yako kwanza kabisa ni wewe kuwa selfish mbili ni ku-postpone the inevitable siku ukiachwa au mambo kwenda mrama usishangae...

To each his/her own....
 
Huwa nawafikiria single father's kwakweli na mm natak nione makaburi ya wanawake mlozaa nao [emoji3]
Kama wewe ukiingia kimahusiano na mwanaume mwenye mtoto au watoto na mwanamke au wanawake wengine halafu ukawajibika kumhudumia huyu mwanaume kwa mavazi, chakula, na mahitaji yake mengine muhimu ya kiume kama mitokonya kwenda out yeye na watoto wake, au kumtoa pesa anapokwenda kwenye mitoko na washkaji zake.

Lakini pia kuwalipia Ada watoto wake wote bila kujali kuwa si wako. Yaani wewe kama mama wa familia ulipie 100% ya gharama. Then hapo utakuwa na haki ya kuulizia makaburi ya hawa wanawake.

Nje ya hapo utakuwa tu unaiga kauli za wanaume wanapohoji.
 
Upo sahihi kabisa. Hili tatizo si la upnde mmoja tu. Hivi vijogoo vinavyozalisha ovyo ovyo hivi tabu sana. Unamkuta binti ana 20 yrs ila tayari ni single mother. Aisee inaumiza sana.

Na wanawake anzeni kukataa kuolewa na single fathers.

Mm ni Me
Hakunaga single father hii dunia. Sijui umkute wapi labda awe padre.
 
Umeanza unatak tuanze kubishana😂
Aya sawa wahoji tu
 
Sio lazima mtoto kuharibu mahusiano yao,ila inawezekana kwa asilimia 80 huyo mtoto akaja kuharibu hayo mahusiano mpka ukajuta,itafika mahali anaanzisha mahusiano na baba watoto kwa kigezo cha huduma ya mtoto,kwahiyo chanzo kitakuwa ni huyohuyo mdogo wako,hapo ndio utashuhudia rangi zote usizozijua,acha tu huyo jamaa achukuwe maamuzi magumu majuto yake huwa ni mabaya sana...
 
Safi sana mana siku hzi kupata demu ambae kavuka miaka 25 hana mtoto imekua shuhuli...

Tulee watoto wetu kwny hofu ya Mungu wakuu wasije ishia kuwa masingo maza.. unakubali vipi kumwagiwa ndan na mtu sio mumeo afu siku za hatari...
Ukiuliza kutoka miaka 18 hadi hiyo 25 alikuwa anafanya nini cha maana kwenye mahusiano ni umalaya tu hakuna la maana.
 
Sijui nipo off topic , hivi kwanini watoto tuseme wanne waliozaliwa na baba tofauti ila mama ni mmoja ,Huwa hakuna ile family bond , yaani ule upendo baina ya ndugu na ndugu?[emoji848]
Damu ni nzito kuliko maji
 
Umekosea mtiririko. Kwanza umemkuta sio bikra, ukasamehe, then ukagundua alikuwa na mahusiano yaani kuna mtu alikuwa anamla, ukasamehe, then ukaja kugundua sio mtu m'moja ni watu zaidi ya 10 wameshachovya dudu zao kwake, ukasamehe, then unakuja kujua kuwa alishika mimba mara kadhaa na akatoa, ukasamehe, then akashika mimba na kuzaa,then ukaanza kujihoji huyu mwanamke ni mtu au jini, kabla haujapata jibu unagundua ana mawasiliano na baba mtoto wake na hao waliomla awali.

Enyi wadada, upo radhi kaka yako, mdogo wako wa kiume au mtoto wako wa kiume siku zijazo apitie situation kama hii ili umwite ni mwanaume wa ukweli?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wanawake kweli mpo illogical mara nyingi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii ya kuchoropoa mimba ni mbaya sana aisee. Kuna watoto huwa wanarudi upya. Ulimtoa roho anarejea kama mtoto mwingine akija anakutesa watu wa nje wanashangaa mbona mtoto hana upendo na mama yake kumbe nafsi iliyouliwa imerejea tena Duniani imekuja kulipiza kisasi.
 
Ilibidi ulivyomzalisha huyo wa kwanza ungemuoa kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…