Kakosa Mume wa ndoto yake: Mdogo wangu wa mwisho kakosa mume kisa ana mtoto

Atapata tu muda ukifika. Asiwe desperate sana kubusu mume. Na ajiulize kwa nini waliyezaa nae hakumwoa
 
Acha nicheke.
 
Yaani hapo ni sawa na kuuliza kwann wanasiasa linapokuja swala la katiba wanaanza kutofautiana ingawa wanatakiwa kujadili ajenda za kitaifa na wanajenga taifa moja?
Mkuu huu mfano wako umenyooka sana, ingawa umenichekesha sana. Watu wanatoana jasho kwa jambo ambalo ni la kitaifa, kumbe ni itikadi zao na mtazamo wao jinsi ya kuangalia mambo😃😃. Mfano umenifurahisha sana
 
Daaaa nimecheka
 
Wake za watu tena ni mimba ya mume au?
 
Story tuu hii
 
Mkuu huu mfano wako umenyooka sana, ingawa umenichekesha sana. Watu wanatoana jasho kwa jambo ambalo ni la kitaifa, kumbe ni itikadi zao na mtazamo wao jinsi ya kuangalia mambo[emoji2][emoji2]. Mfano umenifurahisha sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama ipo ni ipo tu,haikuwa ridhiki,wake yupo anakuja awe mpole,hii ndio Dunia tuliopo sasa.
 
Kama ipo ni ipo tu,haikuwa ridhiki,wake yupo anakuja awe mpole,hii ndio Dunia tuliopo sasa.
Sasa mkuu hii falsafa ndogo lakini murua sana kwa nini dada zetu na mama zetu wengine wanashindwa kuielewa na wanajitia unyonge mkubwa wa kulazimisha mapenzi wasipopendwa?

Ujue wanaume wengi tukishamuona mwanamke anakuwa desperate hata kama kulikuwa na mapenzi yananyauka?

A desperate woman is so unsexy.


Mwanamke anatakiwa ajiamini kwamba atapata mwanamme wa aina yake, hata yule ombaomba mwenye ukoma naye anaweza kumpata wake.

Ya nini unilazimishe niwe na mwanamke nisiyemtaka kisa tunawekeana misingi ya "political correctness" ya kuogopa stigma tu?

Hatuoni hapa tunatengeneza tatizo wanaume waoe wanawake kwa kuwahurumia na kuogopa stigma, si kwa mapenzi, halafu ndoa hizi zije kuwa na matatizo makubwa hapo baadaye, kwa sababu mwanamme atajiona kaoa kwa pressure za jamii, si kwa mapenzi ya kweli?
 
Wanawake mnakosea padogo sana (naongea na singo maza) ninachojua mwanamke unatongozwa

wala hujipeleki,hivi kinachokufanya usimkazie huyo mwanaume ni nini? Mkazie haswaa akikuuliza sababu

za kumkazia ndipo unamwambia "nina mtoto" najua huwezi nipenda na mtoto wangu na hata ukinipenda sasa

baadae utanibadilikia "mjibu hivyo muache hapo" Kama kweli ana nia na wewe ataropoka Tu,MTOTO kitu ganiiii

Fresh tuuu,usimkubalie Tengeneza Bond kati yake na mtoto...ukishajiridhisha kamuelewa mwanao Basi nawewe fungua

Moyo mfunulie gauni hilo,Shida yenu singo maza ni 1... Unatongozwa huko unajisahaulisha una mtoto,unajikubalisha

baadae ushageuzwa kama samaki mikao yote ndio unakuja sema "deviii nikwambie kituuu" Hata kama mimi ndio Devi ukinletea hizo story nishakukula Nakuacha.

Niandae akili yangu tangu mwanzo nijue mwenyewe niingie au niache iende,shida yenu mnajitia maslay kwini halafu mwishoni mnasingizia mtoto.

Shida sio mtto shida ni hamjui wakati upi wa kutufikishia taarifa una mtoto au ushawahi zaaa nk,Endeleeni tu vaa maviatu yenu ya manyoya na sku izi mna mayebo yebo yenu mchina kayaleta mkivaaa kama mpo gorofani.]

kingo maza MMOJA wewe kazi kujitia kidada cha Pre form 1,na mtaachwa sana mkiendelea waweka watoto zenu namba mbili baada ya mapenzi.

Singo maza fahamu kuwa mahusiano baaada ya wewe kuwa na mtoto ni Nafasi ya 2,Nafasi ya 1 n Mwanao no.2 ndio mapenzi...Hata mimi kma nakupenda ukniambia tangu ile mwanzo nakutongoza naweza jikaza nikakuvaaa hvyo hvyo maisha yakaenda,ila Ukinfcha uje unletee story zako baada yakuniona niko serious natafuta Washenga kuja kwenu NAKUACHAAAAAAA....
 
Swala ni lile lile, hatuoi single mothers au wasimbe,

Lazima tubebeshe ndo uolewe
 
Kuna wengine wana bahati wameolewa aisee na watt...nawajua wawili
 
Jokajeusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…