Kakosa Mume wa ndoto yake: Mdogo wangu wa mwisho kakosa mume kisa ana mtoto

Kakosa Mume wa ndoto yake: Mdogo wangu wa mwisho kakosa mume kisa ana mtoto

Wanaume kuna wakati mnashangaza sana. Unakuta mtu anasema hawezi kuoa single mama…. Hebu tuambieni kipi bora kuoa single mama ambae Yes alikosea but katunza mimba Kazaa mtoto na sasa ametulia Kajifunza kutokana na makosa AU bora kuoa binti alie bwia ma contraception hadi kizazi kimepinda au katoa mimba mpka kizazi kina makunyanzi utamuoa hata msipate mtoto? Kipi bora???
Wengi humu ni wazazi wa mabinti na wazazi watarajiwa unajuaje binti yako hata zaa kabla ya ndoa? Je vijana wakija kuonyesha interest utawaambia usimuoe binti yangu ni single maza?
Wangapi humu ni zao la single maza? Hivi mnavyo andika humu ndivyo mnavyoangalia mama zenu kua huyu Hana thamani ni single maza?
Na mshawahi kujiuliza anaempa binti mimba akamuacha yeye akaenda kuoa a fresh girl (as you think) is he not as guilty as well ???
Natamani ifike mahala jamii yetu isimnyooshee binti kidole kisa ni single mom bali tujikite pia kwenye kuongea na vijana wetu as they are also “single dads” na kuna mabinti pia hawatataka single dads kwa kuogopa pia baby mama dramas so it goes both ways!!!
Single mamas sio shida kikubwa jiridhishe kwamba ametulia na anajiheshimu hata Kama baba mtoto yupo kwenye picha, kuliko kuoa binti ambae anabwia ma P2 kila mwezi na Maria Stopes Ana Loyalty card!

Disclaimer: Read this with an open mind maana mtahisi ni maoni ya single mom which is quite the opposite [emoji3577]
 
Wanaume kuna wakati mnashangaza sana. Unakuta mtu anasema hawezi kuoa single mama…. Hebu tuambieni kipi bora kuoa single mama ambae Yes alikosea but katunza mimba Kazaa mtoto na sasa ametulia Kajifunza kutokana na makosa AU bora kuoa binti alie bwia ma contraception hadi kizazi kimepinda au katoa mimba mpka kizazi kina makunyanzi utamuoa hata msipate mtoto? Kipi bora???
Wengi humu ni wazazi wa mabinti na wazazi watarajiwa unajuaje binti yako hata zaa kabla ya ndoa? Je vijana wakija kuonyesha interest utawaambia usimuoe binti yangu ni single maza?
Wangapi humu ni zao la single maza? Hivi mnavyo andika humu ndivyo mnavyoangalia mama zenu kua huyu Hana thamani ni single maza?
Na mshawahi kujiuliza anaempa binti mimba akamuacha yeye akaenda kuoa a fresh girl (as you think) is he not as guilty as well ???
Natamani ifike mahala jamii yetu isimnyooshee binti kidole kisa ni single mom bali tujikite pia kwenye kuongea na vijana wetu as they are also “single dads” na kuna mabinti pia hawatataka single dads kwa kuogopa pia baby mama dramas so it goes both ways!!!
Single mamas sio shida kikubwa jiridhishe kwamba ametulia na anajiheshimu hata Kama baba mtoto yupo kwenye picha, kuliko kuoa binti ambae anabwia ma P2 kila mwezi na Maria Stopes Ana Loyalty card!

Disclaimer: Read this with an open mind maana mtahisi ni maoni ya single mom which is quite the opposite [emoji3577]
Kutoka disclaimer napenda kukupa pole sana dada, usingle mother sio kilema hivyo siku moja waweza ambulia boya wako mmoja akanasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ivi kwa mfano mwanamke alishazaa ila mtoto akafariki huyo nae yupo kundi la single maza?
 
Wanaume kuna wakati mnashangaza sana. Unakuta mtu anasema hawezi kuoa single mama…. Hebu tuambieni kipi bora kuoa single mama ambae Yes alikosea but katunza mimba Kazaa mtoto na sasa ametulia Kajifunza kutokana na makosa AU bora kuoa binti alie bwia ma contraception hadi kizazi kimepinda au katoa mimba mpka kizazi kina makunyanzi utamuoa hata msipate mtoto? Kipi bora???
Wengi humu ni wazazi wa mabinti na wazazi watarajiwa unajuaje binti yako hata zaa kabla ya ndoa? Je vijana wakija kuonyesha interest utawaambia usimuoe binti yangu ni single maza?
Wangapi humu ni zao la single maza? Hivi mnavyo andika humu ndivyo mnavyoangalia mama zenu kua huyu Hana thamani ni single maza?
Na mshawahi kujiuliza anaempa binti mimba akamuacha yeye akaenda kuoa a fresh girl (as you think) is he not as guilty as well ???
Natamani ifike mahala jamii yetu isimnyooshee binti kidole kisa ni single mom bali tujikite pia kwenye kuongea na vijana wetu as they are also “single dads” na kuna mabinti pia hawatataka single dads kwa kuogopa pia baby mama dramas so it goes both ways!!!
Single mamas sio shida kikubwa jiridhishe kwamba ametulia na anajiheshimu hata Kama baba mtoto yupo kwenye picha, kuliko kuoa binti ambae anabwia ma P2 kila mwezi na Maria Stopes Ana Loyalty card!

Disclaimer: Read this with an open mind maana mtahisi ni maoni ya single mom which is quite the opposite [emoji3577]
Mtoa mada kasema kuwa, yule mwamba amehoji.

Huyu mwanamke aliyezaa nje ya ndoa(ingawa anasema ilikuwa bahati mbaya) atawahusiaje wanawe na wao wasizae nje ya ndoa? kuwa aje awahusie pindi wakiwa wanazini kabla ya ndoa wawe makini wasipate mimba?.

Hizi hoja za yule mwamba ni nzito zinahitaji majibu.

Tupatieni majibu ya hizi hoja kwanza.
 
Mtoa mada kasema kuwa, yule mwamba amehoji.

Huyu mwanamke aliyezaa nje ya ndoa(ingawa anasema ilikuwa bahati mbaya) atawahusiaje wanawe na wao wasizae nje ya ndoa? kuwa aje awahusie pindi wakiwa wanazini kabla ya ndoa wawe makini wasipaze ndoa?.

Hizi hoja za yule mwamba ni nzito zinahitaji majibu.

Tupatieni majibu ya hizi hoja kwanza.
hahahaha
 
Mtoa mada kasema kuwa, yule mwamba amehoji.

Huyu mwanamke aliyezaa nje ya ndoa(ingawa anasema ilikuwa bahati mbaya) atawahusiaje wanawe na wao wasizae nje ya ndoa? kuwa aje awahusie pindi wakiwa wanazini kabla ya ndoa wawe makini wasipaze ndoa?.

Hizi hoja za yule mwamba ni nzito zinahitaji majibu.

Tupatieni majibu ya hizi hoja kwanza.

Mara nyingi getting in trouble is not an issue the issue is how you get out of trouble,learn from it and move on.
Trust me anaweza kutumia mfano wake kuonya wanae na maisha yakaendelea.
Na malezi mazuri hayaangalii historia ya mzazi kuna wazazi ambao hawakua single mothers/fathers lakini ndio wanamalezi mabovu na watoto wenye kila tabia mbovu.
Unataka kuniambia mashoga baba zao walikua mashoga??? Mzazi ni sehemu tu ya malezi ya mtoto, dunia pia ina nafasi yake ambayo mzazi hawezi kuzuia! So hoja ya jamaa haina mashiko
I am sure unamifano kibao ya familia ambazo ziko vizuri Ila watoto wako hovyo.
 
Mara nyingi getting in trouble is not an issue the issue is how you get out of trouble,learn from it and move on.
Trust me anaweza kutumia mfano wake kuonya wanae na maisha yakaendelea.
Na malezi mazuri hayaangalii historia ya mzazi kuna wazazi ambao hawakua single mothers/fathers lakini ndio wanamalezi mabovu na watoto wenye kila tabia mbovu.
Unataka kuniambia mashoga baba zao walikua mashoga??? Mzazi ni sehemu tu ya malezi ya mtoto, dunia pia ina nafasi yake ambayo mzazi hawezi kuzuia! So hoja ya jamaa haina mashiko
I am sure unamifano kibao ya familia ambazo ziko vizuri Ila watoto wako hovyo.
Hilo haliwezi kuhalalisha hili tunalolikataa hapa.
 
Mtoa mada kasema kuwa, yule mwamba amehoji.

Huyu mwanamke aliyezaa nje ya ndoa(ingawa anasema ilikuwa bahati mbaya) atawahusiaje wanawe na wao wasizae nje ya ndoa? kuwa aje awahusie pindi wakiwa wanazini kabla ya ndoa wawe makini wasipate mimba?.

Hizi hoja za yule mwamba ni nzito zinahitaji majibu.

Tupatieni majibu ya hizi hoja kwanza.
Kweli Pond boy
 
Uwezi amini jamani, nina mdogo wa mwisho anamika 27 miaka mitano iliyopita alipata mtoto wa kiume. Ila aliyempa ujauzito baadae alioa mwanamke mwingine.

Mwaka jana mwezi wa 8 alimpata kaka mmoja hivi ni mzuri sana na anamaisha yake. Mimi nilimpenda sana yule kaka, mdogo wangu aliniambie huyu ndo mume anayemtaka japo hakumwambia mapema kuwa anamtoto tayari.

Ila mwezi uliopita yule kaka alimwambia kuwa anahitaji kumjua zaidi kuusu familia yake na mahusiano yake ya mwanzo kabla hawajafika deep relationship.

Mdogo wangu akasema sawa, mimi nilimwambia kuwa mwambie mapema kuwa unamtoto tayari, pia usimfiche kuhusu uliyezaa nae mwambie tuu mahusiano yashakufa na tayari yeye anamke tayari. Mwembie mtoto wako hataaribu mahusiano yenu. Pia amwambie tuu kuwa haukupanga kuwa na mtoto ilitokea tuu.

Sasa wiki iliyopita alimwambie kuwa yeye tayari anamtoto, na aliyezaa nae yani Baba mtoto hana mahusiano nae wamebaki kuhudumia tuu mtoto na kuwasiliana kuhusu mtoto tu.

Baada ya kumwambia hivyo yule kaka jamani, jioni yake hakuwa anajibu hata sms , hata akimpigia anamwambia yuko busy. Alimfanyi hivyo kama siku 4 hivi.

Sasa juzi wamekutana yule kaka jamani akamwambia kuwa wewe tayari unamtoto nje. Mimi nataka kuwa na mwanamke ambaye tutakuwa na watoto wetu tuu wa ndoa peke yake.

Nilishangaa sana alimwambie kuwa kama unamtoto tayari tutawafundisha nini watoto wetu kuwa usizae kabla ya ndoa angali wewe tayari unamtoto kabla ya ndoa.

Huo ujasiri utautoa wapi. Lakini pia hata kuwaambia watoto usizini angalie wewe mama ushazini tayari.
Mawasiliano na baba mtoto yakizidi je mimi nitafanya nini. Mdogo wangu ameniambie hivyo.

Nimeshangaa sana jamani,

Hivi nyie wanaume mtoto anatatizo gani jamani. Kwani atazuia ndoa yenu isiwe na furaha jamani.

Kwa nini inakuwa ngumu kwenu kuoa mwanamke ambaye anamtoto tayari.

ACHENI UCHOYO NA ROHO MBAYA.
Hela ni zetu, wachoyo kwa vyetu, tafuta vyako.
 
Usingle mother ni ugonjwa mbaya sana kila mwanaume mwenye akili timamu hawezi kuoa single mother. Kuna binam yang walimuotea wakamzalisha asee na ni pisi kweli ila mpka leo hajapata wa kumuoa na umri unakimbia. Sometimes mpaka anamchukia mwanae anasema ndio kamletea nuksi maishani mwake
Ni uhuni wake na ukicheche ndiyo umemletea nuksi, siyo mtoto. Binamu yako ni aina ya wanawake wahuni na much know wale, yaani wale mashangingi.
 
Wewe uzungumzia kuoa!!!!

Mi kutembea na mwanamke mwenye mtoto ambaye sio mke wangu hata sijawahi kuwaza kama naweza kufanya kitu kama hicho

Nikijua una mtoto hisia Inakata hapo hapo..

Kivip sijawahi kuwaza hata km naweza kulala na mwanamke mwenye mtoto tena katika ulimwengu huu ambao wanawake wasio na watoto wapo wengi
Lakini sijui ya mbeleni huko labda tena labda inaweza kutokea bahati mbaya
 
Wanaume kuna wakati mnashangaza sana. Unakuta mtu anasema hawezi kuoa single mama…. Hebu tuambieni kipi bora kuoa single mama ambae Yes alikosea but katunza mimba Kazaa mtoto na sasa ametulia Kajifunza kutokana na makosa AU bora kuoa binti alie bwia ma contraception hadi kizazi kimepinda au katoa mimba mpka kizazi kina makunyanzi utamuoa hata msipate mtoto? Kipi bora???
Wengi humu ni wazazi wa mabinti na wazazi watarajiwa unajuaje binti yako hata zaa kabla ya ndoa? Je vijana wakija kuonyesha interest utawaambia usimuoe binti yangu ni single maza?
Wangapi humu ni zao la single maza? Hivi mnavyo andika humu ndivyo mnavyoangalia mama zenu kua huyu Hana thamani ni single maza?
Na mshawahi kujiuliza anaempa binti mimba akamuacha yeye akaenda kuoa a fresh girl (as you think) is he not as guilty as well ???
Natamani ifike mahala jamii yetu isimnyooshee binti kidole kisa ni single mom bali tujikite pia kwenye kuongea na vijana wetu as they are also “single dads” na kuna mabinti pia hawatataka single dads kwa kuogopa pia baby mama dramas so it goes both ways!!!
Single mamas sio shida kikubwa jiridhishe kwamba ametulia na anajiheshimu hata Kama baba mtoto yupo kwenye picha, kuliko kuoa binti ambae anabwia ma P2 kila mwezi na Maria Stopes Ana Loyalty card!

Disclaimer: Read this with an open mind maana mtahisi ni maoni ya single mom which is quite the opposite [emoji3577]
Umepangilia hoja zako vizuri, nakubaliana na wewe..... tatizo ni hizi stereotypes za kiafrika.... single moms wanakua antagonized wakati wanaume waliowapa mimba hawapati lawama wanazostahili.
 
Back
Top Bottom