Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
- Thread starter
- #21
Energy oil imefanya nn mkuu? Zile uniform tu tunashona ofisin kwetu.Habari ya Energy oil Co Ltd
Karibu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Energy oil imefanya nn mkuu? Zile uniform tu tunashona ofisin kwetu.Habari ya Energy oil Co Ltd
Nimeona Gate Pass mkuu, ukipost utopolo tena tutakufwata hapo tuangalia CCTV footage ya mtu mwenye hiyo jens yako aliyekua fundi wa redio call.Energy oil imefanya nn mkuu? Zile uniform tu tunashona ofisin kwetu.
Karibu sana
Huyu hata Corolla yangu ikiishiwa hydrolic anaweza kuiwasha na ikawaka ,Mungu amsaidie mja wake tuDah mwamba mpambanaji sana
Hahaha, mwenye kampuni yenu mwambie kijana wake wa mbagala ana jambo lake anitafute. Ataelewa code hiyoNimeona Gate Pass mkuu, ukipost utopolo tena tutakufwata hapo tuangalia CCTV footage ya mtu mwenye hiyo jens yako aliyekua fundi wa redio call.
Wanaume tunatafuta kwa shida sana..Huyu hata Corolla yangu ikiishiwa hydrolic anaweza kuiwasha na ikawaka ,Mungu amsaidie mja wake tu
Ah menemene mjanja wa mjini tu... kwanza usharudi dsm au?Mshikaji wangu ,siku nyingine nipigie au nitafute kwani sikukueleza mie ndiyo mjua kila kitu mbona Mambo yalikuwa madogo tu ?
njaa ina uwezo wa kukupa ujasiri wa ajabu sana.Ile jamaaa 😂😂😂kama sio fundi kwanini ulichukua tender?
Kuhonga ni jukumu mzee, sema siku hiz naish kama nyoka tu. Madem hela yangu wanaipata kwa shida sanaWe mkuu usionge hela. Marufuku.
Sasa utachagua wewe, kuwa fundi wa taaluma ambayo huijui au kufa njaa. Ushawh kujiuliza madalali wanaanzaje anzaje?njaa ina uwezo wa kukupa ujasiri wa ajabu sana.
Inaweza kunipa ujasiri wa kufanya kazi lkn sio kama hiyo ya kutengeneza radio call ambayo Sina uzoefu nayonjaa ina uwezo wa kukupa ujasiri wa ajabu sana.
Bado kaka sijarudiAh menemene mjanja wa mjini tu... kwanza usharudi dsm au?
Ukirudi tuwasiiane mkuuBado kaka sijarudi
Mm nilijulia hapohapo mana redio call nazifaham kidogo kimatumizi lakin sio kufanya setting na vitu vingine. Hii ya utaalam inaletwa na kias cha njaa kilichopo kwa muda huoInaweza kunipa ujasiri wa kufanya kazi lkn sio kama hiyo ya kutengeneza radio call ambayo Sina uzoefu nayo
Njaa mbaya sana. Hapa kuna dili lingine la kwenda ku'dive' katika fukwe za msasani Bay mana kuna mashine ya boti imetumbukia. Mishe haina interview wala nn niko geto hapa nafikiria namna ya kuiingia nipate hela kula kesho 😆🤣🤣🤣we kila kazi unafanya,unawadanganya hadi njagu?
🤣🤣🤣🤣we kibokooo,hadi chini ya maji?I can't youNjaa mbaya sana. Hapa kuna dili lingine la kwenda ku'dive' katika fukwe za msasani Bay mana kuna mashine ya boti imetumbukia. Mishe haina interview wala nn niko geto hapa nafikiria namna ya kuiingia nipate hela kula kesho 😆