Kalaga baho Nongwa: fundi redio call

Kalaga baho Nongwa: fundi redio call

Inaweza kunipa ujasiri wa kufanya kazi lkn sio kama hiyo ya kutengeneza radio call ambayo Sina uzoefu nayo
Mm nilijulia hapohapo mana redio call nazifaham kidogo kimatumizi lakin sio kufanya setting na vitu vingine. Hii ya utaalam inaletwa na kias cha njaa kilichopo kwa muda huo
 
🤣🤣🤣we kila kazi unafanya,unawadanganya hadi njagu?
Njaa mbaya sana. Hapa kuna dili lingine la kwenda ku'dive' katika fukwe za msasani Bay mana kuna mashine ya boti imetumbukia. Mishe haina interview wala nn niko geto hapa nafikiria namna ya kuiingia nipate hela kula kesho 😆
 
Back
Top Bottom