Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Wewe kamenye nyanya jikoni hauna ulijualo humu JF.ushahidi!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kamenye nyanya jikoni hauna ulijualo humu JF.ushahidi!?
hakuna mchaga asiyekuwa mwizi...mngi ni mwenyekiti wa wezi
Unakumbuka pesa alizochukua kupitia msaada wa nchi wafadhili "Commodity Import Support" ambazo hakuzilipa hadi leo.Nakumbuka Mengi alivyokuwa anatengeneza kalamu za wino na wanawe nyumbani kwake Upanga.
Na ni fisadi haswa.Mengi ni bepari anaeujua ubepari..
Kwa mara ya kwanza nimekubali nini Bavicha bana.
Umesahau alivyotafuna NBC yeye na wenzake mpaka ikafirisika.
hakuna mchaga asiyekuwa mwizi...mngi ni mwenyekiti wa wezi
Hizo fikra zako hapa tunaongelea ufisadi wa NBC.mm najuwa huwapendi wachaga na wakatoliki,
Walikuwa wanashirikiana naye kufisadi nchi.
Unakumbuka pesa alizochukua kupitia msaada wa nchi wafadhili "Commodity Import Support" ambazo hakuzilipa hadi leo.
Hivi unadhani hao viongozi wa serikali ni malaika wapo ambao ni wezi na mafisadi ambao walikuwa wanashirikiana na kina Mengi kufisadi nchi.yaani kwa mara ya kwanza umekubali kuwa "VIONGOZI WA SERIKALI NI MAFISADI"
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Kama Bakhressa naye kafirisi benki yetu nae atakuwa fisadi sioni fahari kumsifia tajiri aliyejitajirisha kupitia kodi zenu.
Umesahau alivyotafuna NBC yeye na wenzake mpaka ikafirisika.
Wakati huo serikali ya chama chako ilikua wapi?
Walikuwa wanashirikiana naye kufisadi nchi.
Zamani ya mwaka gani?