Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Kafirisi au kauziwa?Bakhresa kafilisi National Milling.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafirisi au kauziwa?Bakhresa kafilisi National Milling.
Hiyo cheni ndefu inafika mpaka ufipa.Ipo Siku Mtawataja wote!
hahaaaa mkuu asante kwakumsoma kwa jicho la 3 huyu bwanamdogo Ritz
Mi nilimsoma mapema mno,na kukubali fasta kuwa walishirikiana na serikali ni kwa kuwa anajua ni mkapa ambaye ametofautiana naye kiimani anahusika kwa namna moja ama nyingine.
Ni kweli hatupaswi kuwafurahia mafisadi wa aina yeyote lakini tukubali pia kuwakosoa wale wa dini yetu maana mapovu yao yanatokea tu endapo wa dini tofauti na wao anaposadikika kuwa fisadi.
Jumla ya fedha zote za NBC ambazo akidaiwa Mengi kupitia kampuni yake hadi kufikia mwaka 2009 pamoja na riba ilikuwa bilioni 28.
CC: Ben Saanane
WA kwanza Ni nani?
Ndg unashangaza!
Nahisi una chuki binafsi.
Haipatani na akili kusema eti Mengi kaidhulumu NBC na wakamwacha.
(POINTLESS).
Labda useme kakopeshwa kiasi hicho
(Hata ikiwa hivyo,kwani ni kosa kwa milionea kukopa?)
Tazama hiyo bl 28 ni ndogo sana kwa Mengi mwenye utajiri wa over Tsh bl 880.
Kwanini NBC isimshitaki?
au kuzuia Assets zake?
Ana historia nzuri na hawezi kuitwa fisadi kwa sababu hajawahi kuajiriwa serikalini, hata kuwa mjumbe wa nyumba 10 bado.
Fikra zangu zinanipa picha kuwa
"Endapo Reg Mengi angekuwa na wadhifa serikalini,mngepata nguvu ya kumwita mwizi!........
naye kwa kulijua hilo alilikwepa mapema "
UBAGUZI SIO DILI
Ina mana umemuona mengi tu na bakhresa?mbona mafisadi wapo kibao na hawatajwi.swala la kukopa c ajab mana mbona hata serikali inakopa sembuse umewaona hao.acheni chuki binafsi bwana.Na ni fisadi haswa.
Kafirisi au kauziwa?
hakuna mchaga asiyekuwa mwizi...mngi ni mwenyekiti wa wezi
Zamani ya mwaka gani?
Ndg unashangaza!
Nahisi una chuki binafsi.
Haipatani na akili kusema eti Mengi kaidhulumu NBC na wakamwacha.
(POINTLESS).
Labda useme kakopeshwa kiasi hicho
(Hata ikiwa hivyo,kwani ni kosa kwa milionea kukopa?)
Tazama hiyo bl 28 ni ndogo sana kwa Mengi mwenye utajiri wa over Tsh bl 880.
Kwanini NBC isimshitaki?
au kuzuia Assets zake?
Ana historia nzuri na hawezi kuitwa fisadi kwa sababu hajawahi kuajiriwa serikalini, hata kuwa mjumbe wa nyumba 10 bado.
Fikra zangu zinanipa picha kuwa
"Endapo Reg Mengi angekuwa na wadhifa serikalini,mngepata nguvu ya kumwita mwizi!........
naye kwa kulijua hilo alilikwepa mapema "
UBAGUZI SIO DILI
Zamani ya mwaka gani?