Kalapina awataka wale waliomteka Roma Mkatoliki wakamteke na Yeye ili awaonyeshe Kazi

Kalapina awataka wale waliomteka Roma Mkatoliki wakamteke na Yeye ili awaonyeshe Kazi

Simple tu Kala Pina ninakushauri tunga wimbo kama ule wa Ney wa mitego then upload on you tube halafu ole wako uje useme mimi mzima tu wala msiwe na hofu hawajanifanya chochote .

Mengine itabaki kuwa siri yako na mke wako huko nyumbani kwenu.
 
Amepewa kichwa abebee akili ye anataka abebee mizigo!! Hanayo hamu ya kijila, anajipa moyo kwa kauli za kishujaa! Wanatekwa wenye roho ngumu na wanatoa ushirikiano. Kuna msemo unasema upingwe ndio uende au unaenda bila kupigwa!?
 
Kinachomsaidiaga uyu akianzisha fujo anapata back up kwa jamaa zake Wa kikosi.kama alivyopigana na bou nako.wanapigana wawili Mara kikosi kizima kinavamia wakiona mwenzao maji ya shingo.inatakiwa mmoko kwa mmoko. Mimi mwenyewe namfua tu ata kama ana kifua
 
Huyo anaongea tu kuna mwenzake naye alikuwa anajiita NGUMI JIWE vijana walicho mfanya siri yake.
Dah mkuu unafuatilia video za vichochoroni mbaya dah hadi ww uliiona ile video [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hata mimi ningeua wanne palepale kabla hawajaniteka, Roma anatakiwa aje nimmpe maujuzi ya kutumia mikono na miguu sio mdomo mrefu kumbe kiuno bila mfupa tu.
Nadhani gym na mazoezi mengine ya mapigano,bhangi vyote kwa pamoja hupunguza sana uwezo wa kufikiri
 
Back
Top Bottom