Umemsahau na john mwenyeww hata kama amekufa ila bado unaweza mshitaki huko huko aliko tukamrudisha duniani ajibu mashtaka yakeKwenye list yangu ya viongozi ambao wanapaswa kufunguliwa mashitaka kwa matumizi mabaya ya ofisi huyu nilimsahau.
Haraka ajumlishwe
John afufuliwe asokomezwe seloUmemsahau na john mwenyeww hata kama amekufa ila bado unaweza mshitaki huko huko aliko tukamrudisha duniani ajibu mashtaka yake
Kosa moja humuondolea mtu mazuri yake. Tanzania tulikuwa na utaratibu tuliojiwekea wa kujenga maofisi ya Umaa kutokana na hadhi ya mji kimamlaka.Hii ni Ofisi ya Tanesco iliyojengwa kwenye kijiji (wao wanaita wilaya) ya Chato, ni kubwa kuliko ofisi yoyote katika mikoa ya kanda ya ziwa, kanda ya kati,kaskazini na nyanda za juu kusini. Tanesco ni taasisi iliyo chini ya Wizara ya Dk. Kalemani, wateja was umeme chato wakifika elfu tano ni bahati sana, ofisi hiyo ni kubwa kuliko hata ya Tanesco jiji LA mwanza ambako kuna mamilioni ya wateja
Mh. Samia,asante kwa kumuondoa Kalemani, huu ni ufisadiView attachment 1941428
Hawa Sukuma Gang walikuwa na ajenda chafu na mbaya dhidi ya nchi hii.Hii ni Ofisi ya Tanesco iliyojengwa kwenye kijiji (wao wanaita wilaya) ya Chato, ni kubwa kuliko ofisi yoyote katika mikoa ya kanda ya ziwa, kanda ya kati,kaskazini na nyanda za juu kusini. Tanesco ni taasisi iliyo chini ya Wizara ya Dk. Kalemani, wateja was umeme chato wakifika elfu tano ni bahati sana, ofisi hiyo ni kubwa kuliko hata ya Tanesco jiji LA mwanza ambako kuna mamilioni ya wateja
Mh. Samia,asante kwa kumuondoa Kalemani, huu ni ufisadiView attachment 1941428
Kwa Siasa na vipaumbele vyao vya hovyo vilivyozingatia upendeleo na kumpendezesha Mwendazake wakashindwa kuangalia uhalisia wa mahitaji. Jengo kubwa Kama hilo lilipaswa kujengwa kwenye miji ambayo Tanesco ina wafanyakazi wengi ambao wanaohitaji office space nyingi na kubwa. Na nature ya kazi za Tanesco haiitaji Jengo lenye office nyingi kama hizo na hasa kwenye makao ya wilaya.Walipata madaraka makubwa wakawa na vipaumbele vya kijinga hivi huko chato mahitaji Yao yalikuwa ofisi kubwa ya Tanesco?
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa
Ni mashetani tu hawa, uzalendo unaweza kujenga international airport kijijini?Kuna timu haitaki kabisa haya makaburi yafukuliwe, eti ndo walikuwa wanajiita wazalendo.
Mkuu kwa hiyo unataka mkataba uvunjwe? Nani atalipa gharama za kuvunja mkataba?Kama haijaisha basi ihishie hapo hapo!