Kalemani huu sio ufisadi kwa kujenga ofisi ya TANESCO ya mabilioni katika Kijiji cha Chato, kubwa kuliko ofisi yoyote Kanda ya Ziwa na Kati?

Nyinyi mnaomtukana Marehemu ndo mnamponza mzee Mbowe.

Nadhani atakaa huko Hadi upepo wa matusi kwa marehemu ukauke.

Ndo heshima pekee system inatoa kwa hayati kiongozi mkuu.
Na ndio maana mpaka leo hii ni maskini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…