Kalenda ya mashindano ya 'CAF 2020/2021', imetoka rasmi

Achana na hizo habari za vijiwe vya kahawa, timu ya wananchi ina msemaji wake sio hao wahuni wa vijiweni
Asante, maana niljua Mukoko kamfanya vibaya mwenzake maana wakongo siwaamini hasa wakishabwia 'mkongo' asante.
 
Mbona kama tabia chafu inainyemelea utopolo au walimwona mtoto wa wa watu ni mchele mchele
Eeeh maana nasikia wanamwita MB, cutie sasa Mukoko akila 'mkongo' anakuwa na tabia zisizo.
 
Eeeh maana nasikia wanamwita MB, cutie sasa Mukoko akila 'mkongo' anakuwa na tabia zisizo.
Kuna clip inasambaa wakiwa kwenye mazoezi mukoko anamchomekea jezi kalinho ,tena kwa mbele kwa kuingiza mkono ndani ,dogo akamind flani hivi ,mukoko atakuja kuwafanyia wote mchezo mchafu pale utopolo
 
Kuna clip inasambaa wakiwa kwenye mazoezi mukoko anamchomekea jezi kalinho ,tena kwa mbele kwa kuingiza mkono ndani ,dogo akamind flani hivi ,mukoko atakuja kuwafanyia wote mchezo mchafu pale utopolo
Mkuu iweke hapa, Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha hA.
 
I believe this time we are going to do better in the tournament!

Our team deserves winning and trophies! Come on Lions![emoji881][emoji881][emoji881][emoji91][emoji91][emoji91]

Timu Bora Africa Mashariki
Kumbe ka ngeli mkuu umo!. Hapa ata sven ataelewa , Salute
 
Mbumbumbu fc, shikamoo fc, mnaenda kuchezea sita sita mmeongeza vibabu sambamba na magoli mtakayo ruhusu.
πš‘πš’πš£πš˜ πšœπš’πšπšŠ πšœπš’πšπšŠ πš—πšπš’πš£πš˜ πš£πš’πš•πš’πš”πšžπš™πšŠ 𝚠𝚠 πšŸπš’πšπš’ πš–πšŠπšŠπš•πšžπš– πš”πšžπšœπš‘πš’πš›πš’πš”πš’ πš–πš’πšŒπš‘πšžπšŠπš—πš˜ 𝚒𝚊 𝙲𝙰𝙡, πš”πš πšŠ 𝚜𝚊𝚜𝚊 πš—πš’ πš‘πš’πšŠπš›πš’ πš’πšŠπš”πš˜ πš”πšžπš–πšœπš‘πšŠπš—πšπš’πš•πš’πšŠ πšœπš’πš–πš‹πšŠ πš’πš•πš’ πšžπš™πšŠπšπšŽ πšπšŽπš—πšŠ πš‘πš’πšŸπš’πš˜ πšŸπš’πšπš’ πš–πšŠπšŠπš•πšžπš–
 
Cha msingi uahirikiano tu. Timu tunayo nzuri
Mi huwa naangalia najaribu kulinganisha, hivi team Kama zesco ukitazama wanatuzidi kipi? Lakini kucheza CL kwao Ni kawaida( kuanzia group stage).

Inatakiwa Simba ijitahidi kufocus kwenye CL competitions ili club ijiendeshe kwa faida.
 
Mkuu asante kwa Hoja yako nzito.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…