Kalenda ya mihula ya shule 2023 inachanganya walimu

Kalenda ya mihula ya shule 2023 inachanganya walimu

Government works on paper! Wewe hizo ratiba za mihula ulipata wapi zote mbili zinazokuchanganya??? Jitahidi kutafuta taarifa sahihi kupitia vyanzo sahihi na kwa wakati sahihi. Muulize mwalimu mkuu wa shule anayosoma mtoto wako atakuambia tarehe ya kufunga na kufungua. Habari za kuchanganywa unajichanganya mwenyewe
 
Government works on paper! Wewe hizo ratiba za mihula ulipata wapi zote mbili zinazokuchanganya??? Jitahidi kutafuta taarifa sahihi kupitia vyanzo sahihi na kwa wakati sahihi. Muulize mwalimu mkuu wa shule anayosoma mtoto wako atakuambia tarehe ya kufunga na kufungua. Habari za kuchanganywa unajichanganya mwenyewe
Mkuu ukiwa kwenye social media usijione wewe ni mwerevu kuliko wengine soma post zote utaona Bado Kuna contradiction na mpk imekuja humu jua hizo source ulizotaja zishapitiwa na ndio utata ulipo.
 
Kalenda ya mihula ya shule kwa mwaka huu 2023 haieleweki Kuna isyosema kufungua ni 17/4/2023 na nyingine 11/4/2023 ipi Iko sahihi? Walimu tusaidieni maana Kuna mipango ya kifamilia inaharibika kwasababu ya hizo ratiba mbili! Aione mpwayungu village
Wewe ndio unajichanganya,
Baada ya source yako ya habari iwe TAMISEMI, au WIZARA YA ELIMU ....wewe unaenda insta,fb,mabumbe n.k....NA UTACHANGANYIKIWA SANA TU
 
Walimu ni mabwege tu, hayajitambui. Anyway sijui kwakwel kuhusu hizo ratiba maana mm sio mwalimu
Bwege LA Mabwege. Nakuona sana kule Uzi wa kubadilishana vituo sijui unataka kuhamia wapi? Nakulaani wewe Umbwa Mkuu
 
Bwege LA Mabwege. Nakuona sana kule Uzi wa kubadilishana vituo sijui unataka kuhamia wapi? Nakulaani wewe Umbwa Mkuu
Mbona umetumia nguvu kubwa kumlaani kijana wa kigogo mkuu?
 
Back
Top Bottom