Rostema
JF-Expert Member
- Nov 27, 2018
- 2,926
- 9,470
Mchezaj wa kimataifa wa Yanga mwenye asili ya kiangola amevunja mkataba wake na yanga na kuelekea kwao angola sababu hazijaeleweka ila chini ya kapet ni kuwa maisha ya utopoloni yamemshinda.
Habari hii watangazaji uchwara wa tanzania hawataizungumza kwa mapana na marefu, lakin kama ingetokea kwa upande wa simba media zingechafuka.
Nakaribisha michango.
Habari hii watangazaji uchwara wa tanzania hawataizungumza kwa mapana na marefu, lakin kama ingetokea kwa upande wa simba media zingechafuka.
Nakaribisha michango.