comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
Sana, hatamimi nashangaaUpumbavu
Acha hasira boss, njoo tutumieKwa hiyo na wewe kama unatamani ungekuwa na kalio vile bila shaka, ili uweke status kushawishi, udrive, nyumba nzuri, biashara kubwa!!!
Halafu mbona hayo makalio yenyewe makubwa ni mazuri kwa nje tu! Au Nasema Uongo Ndugu Zangu !
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimetapika, nikikumbuka zile rangi za ukoko kwenye mistari ya kalio na pafume huwa sio ya nchi hii.
Mkuu tafuta hela.Acha hasira boss, njoo tutumieView attachment 2393137
Angeonyesha bundles , ten folds of ten thouthand bills sio appetite ya watu walio cash loaded .Mkuu tafuta hela.
Endelea kutafuta.
Bado hujafika level za kukaribisha watu jf kutumia hela.
Kwa kawaida wenye hela huwa hawahesabu na kukunja hivyo hela.
Abadan asilani.
Kuna yule mlokole feki muna sijui ndio alienda uturuki kajaziwa matambara sio poa,Nimetapika, nikikumbuka zile rangi za ukoko kwenye mistari ya kalio na pafume huwa sio ya nchi hii.
KabisaKwa hiyo na wewe kama unatamani ungekuwa na kalio vile bila shaka, ili uweke status kushawishi, udrive, nyumba nzuri, biashara kubwa!!!
Halafu mbona hayo makalio yenyewe makubwa ni mazuri kwa nje tu! Au Nasema Uongo Ndugu Zangu !
Swadaktaaa.Angeonyesha bundles , ten folds of ten thouthand bills sio appetite ya watu walio cash loaded .