Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka na april 16 tusisahau vizuriBinadamu ameumbwa kusahauView attachment 2658864
huyu ni sawa ha cheti cha kuwa kocha azamAzam hawapendagi ujinga.
Ametimuliwa usiku usiku sababu ni kuuza mechi yafainali
Move nzuri sana hii.Yusuf kamtema mshikaji wake
Atamtafutia kitengo kiwandanMove nzuri sana hii.
Kally hajui lolote kuhusu kufundisha soka.
Alivamia tuu ile fani sababu ya ushkaji wake na Yusuf Bakhresa
Cha kuonja sukari imekolea kwenye juisiAtamtafutia kitengo kiwandan
Ukwaju kama umekolea 😀Cha kuonja sukari imekolea kwenye juisi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Cha kuonja sukari imekolea kwenye juisi
Sasa mbona nyie mliuza nusu fainali kwa AzamOngala ni Yanga anaachaje kuuza mechi muhimu ya fainali kwa Yanga,subiri uone atapewa kazi Yanga muda si mrefu.
Mbumbumbu maza wakokweli ninyi ni makolo, mbumbumbu a.k.a madunduga... kwahiyo ile game iliuzwa..??? Basi wananchi tupo vizuri
Hasira za nini.. tuliza mshono huo,Mbumbumbu maza wako
Mods mnaporuhusu watu kuchafuliwa bila ushahidi mnafanya heshima ya JF ishuke.Azam hawapendagi ujinga.
Ametimuliwa usiku usiku sababu ni kuuza mechi yafainali
Njaa zake zimemghalimuAzam hawapendagi ujinga.
Ametimuliwa usiku usiku sababu ni kuuza mechi yafainali
Guadiola mnene anapewa Thank You pia?Unamsikiliza chizi huyo? Leo Simba, Yanga na Azzam ni mwendo wa Thank you kwenye mabenchi ya ufundi.
Simba mpaka usiku huu leo imefukuza makocha wanne, sasa sijui wamemuuzia nani mechi?
Mzamini wao alikuwa GSM ya injinia kwaiyo ni washikaji toka kitamboEeeebane ni kweli coz huyu ongala alikuwaga kocha wa majimaji songea na mzamini wa