Kama 77% ya Watanzania ni vijana chini ya Umri wa miaka 35 shida kubwa ya umasikini wetu ni kuongozwa na wazee

Kama 77% ya Watanzania ni vijana chini ya Umri wa miaka 35 shida kubwa ya umasikini wetu ni kuongozwa na wazee

Wow 😲, naona 'vijana' wa CCM wale wanaobebwa na mbeleko za baba zao wameanza kampeni na propaganda mapema, kama vile anavyofanya Muhoozi Kainerugaba kule Uganda 🤣.

Ukiusaka saaana hauwezi kuupata.
 
 
Hoja ya ujana na uzee ni ya kijinga na ni mufilisi
 
Mwalimu wangu wa psychology alisema binadamu mweusi akifika 50 years plus anawaza kufa na kule Jehannam aendako kama ni fisadi, with teacher's argument ina maana Ili Africa ipige hatua kiuchumi ni lazima Rais awe 40+! Sio 50+ ni Mzee tayari and selfish!

Mazee ya kibongo yenye madaraka ndio chanzo Cha umaskini, mengi ni mabinafsi, mashamba , mashetani, majinga na malimbukeni, ni mashirikina, mfano yakipata uWaziri yanataka yaendeshwe na mashangingi latest design wakati huko kwao mpitimbi yalienda shule peku, kusoma kwa kibatari na kushindia uji! Hizi gari kubwa zinanyonya sana uchumi na pesa ya Barabara mpya ya Msumi, madaraja, Meli mpya, miundombinu ya umeme na reli.
 
Tuna vijana wengi tu katika nafasi za uongozi.....

Unataka Rais kijana?!!!

Ameshindwa kupatikana nchini NIGERIA eti leo apatikane Tanzania?!!!

Ujana ni kipindi cha kujifunza mengi ikiwemo busara.....hutegemei kuwa na vijana wengi wenye busara kulinganisha na wazee.......

Hon Obama once quoted "LIFE begins at forty"......

#SiempreJMT
 
Vijana wenyewe ndo Hawa wanaolalamika hawasalimiwi fitina kibao🚮...vijana wengi wakisha pata madaraka hakuna wanachofanya zaidi ya kujitutumua na dharau kwa wazee....wazee wanabusara Sana kuliko vjana
 
Back
Top Bottom