mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Huko ni kwa mabingwa tu walisema.
Sasa naona vibonde wamedandia meli SIO.haya rudini shirikisho
Sasa naona vibonde wamedandia meli SIO.haya rudini shirikisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na makucha yakeKumekuchaaaaa
Binti wa shule njoo nikufundishe hisabati.Hawa watang'oka tu kama wengine walivyong'oka. Shida ni kumng'oa Ayatollah Mbowe Chadema! Ahahahahaha!!
Kweli mkuu, ile clip iletwe tuinjoiWanaJF mwenye kale ka clip kanasema hv :-
"Sisiemu ataondoka kama alivoondoka Firauniiii....
Waichukucha waichukucha..."
Naomba akaweke hapa na anitag
Aziz Ki amebemendwaKi Aziz vimiguu vimekua kama fito, 😂😂😂Comments ziwe fupifupi....
January mbali sanaHili ni angalizo kwa hao wanaodhani wameinunua Yanga.
Muda utaongea .
Vp kuhusu kocha tumpe muda ganiJanuary mbali sana
GSM ameinunua yanga bahati mbaya nyie makapuku hamuwezi rudisha pesa ya GSM!Hili ni angalizo kwa hao wanaodhani wameinunua Yanga.
Muda utaongea .
Ahahahahaha!!!nje ya mada
Mimi ni Mtoto wa Shule sio Binti wa shule. KUMBAVU!Binti wa shule njoo nikufundishe hisabati.
Mtoto wa Shule wa kike siyo!Mimi ni Mtoto wa Shule sio Binti wa shule. KUMBAVU!
Mtume Binti yule mkubwa aje tusome wote chumbani kwangu! Ahahahahaha!!!Mtoto wa Shule wa kike siyo!
Udini umetuponza kmmkKwanza kocha gani huyu katuletea,eti ujerumani kuna majina ya Saidi?
Duh!Mtume Binti yule mkubwa aje tusome wote chumbani kwangu! Ahahahahaha!!!