Kama aling'olewa Gulamali wewe Hersi Said na GSM mtang'oka tu!

Kama aling'olewa Gulamali wewe Hersi Said na GSM mtang'oka tu!

Ki Aziz vimiguu vimekua kama fito, 😂😂😂Comments ziwe fupifupi....
Yule jamaa huwa sielewi jambo moja kwake.
Hivi kile ni KIDONDA au ni mdomo?
Ni mchezaji mzuri na anaweza kucheza akiachana na siasa za MZUNGU KICHAA za kuvalishana jersey na Hamisa pale uwanjani na huwenda kile KIDONDA alicho nacho sehemu ya kupitishia chakula likawa ni changamoto nyingine.

SIMBA YAO tayari wana wa TEGETA kwa ndevu walishamalizana naye,leo SIMBA mwingine pia atamalizwa kule Karahali.
 
Nachukizwa sana na matokeo haya, walisema kikosi hiki iko siku mtu atafungwa 20, sasa imekuwa kinyume chake 😡😡😡😡
 
Hili ni angalizo kwa hao wanaodhani wameinunua Yanga.

Muda utaongea .
Maoni ya Wana Simba. Mbona Yanga hatupigi hizo kelele zenu? Mnadhani sisi ni vichwa panzi kiasi cha kusahau hali ya timu yetu ilivyokuwa? Kwamba hatujui kwamba bado tuna kikosi bora ila yanayotokea sasa ndiyo maana halisi ya football?
 
Hili ni angalizo kwa hao wanaodhani wameinunua Yanga.

Muda utaongea .
Huyu kijana anayeitwa engineer na mwenzake Mzanzibari wametuharibia yanga yetu. Kwanza ni wabaguzi, walimtoa Gamondi wakiweka huyu sababu tu jina lake ni kama Said ila hana chochote kimbinu. Waondoke watuache chama letu wenyewe
 
1000300979.jpg
 
Back
Top Bottom