Mchango wake ni upi?Ki
Kibuli chake cha kumdharai manara kinamponza hujachelewa injinia nenda kamwombe radhi amchango mzuri tu kwa yanga acha kibuli.
ππππ kazi nzuri sana kaifanya mtoto mobetoAziz Ki amebemendwa
Yule jamaa huwa sielewi jambo moja kwake.Ki Aziz vimiguu vimekua kama fito, πππComments ziwe fupifupi....
Wewe na huyo dada enu hamna manaπππππππ kazi nzuri sana kaifanya mtoto mobeto
Mkuu huna picha nyingine ukiachana na hii ya maudhi???Kwendraa tuachie yanga yetu. Eng, tunaye na tunatamba naye ππView attachment 3171693
Maoni ya Wana Simba. Mbona Yanga hatupigi hizo kelele zenu? Mnadhani sisi ni vichwa panzi kiasi cha kusahau hali ya timu yetu ilivyokuwa? Kwamba hatujui kwamba bado tuna kikosi bora ila yanayotokea sasa ndiyo maana halisi ya football?Hili ni angalizo kwa hao wanaodhani wameinunua Yanga.
Muda utaongea .
Naunga mkono hoja, kajaa kiburi na sifa!! HafaiHersi sio kiongozi ni mbahatishaji tu.
π€£π€£π€£π€£ Side mnyamwezi π€£π€£π€£π€£Kwanza kocha gani huyu katuletea,eti ujerumani kuna majina ya Saidi?
Akiondoka utawalipa mshahara wachezaji wewe mzee? Au mrudie zama za kuchangishana?Hili ni angalizo kwa hao wanaodhani wameinunua Yanga.
Muda utaongea .
Gulamali hakung'olewa ...tuache habari potofuHili ni angalizo kwa hao wanaodhani wameinunua Yanga.
Muda utaongea .
Bila kumsahau Haji Manara aliyetoa hiyo assistππππ kazi nzuri sana kaifanya mtoto mobeto
Mnataka waende wapi? Waingie kucheza uwanjani?Muda ndo huu, watupishe ktk klabu yetu, kila siku ni huzuni tu, tumechoka, engineer aachie ngazi.
Utopolo mmeingizwa chaka, Saidi ni mpemba.Kwanza kocha gani huyu katuletea,eti ujerumani kuna majina ya Saidi?
Huyu kijana anayeitwa engineer na mwenzake Mzanzibari wametuharibia yanga yetu. Kwanza ni wabaguzi, walimtoa Gamondi wakiweka huyu sababu tu jina lake ni kama Said ila hana chochote kimbinu. Waondoke watuache chama letu wenyeweHili ni angalizo kwa hao wanaodhani wameinunua Yanga.
Muda utaongea .
Manara mtoto wa mjini, Hersi akae nae chini wayamalizeBila kumsahau Haji Manara aliyetoa hiyo assist