Kama aliyepita alipigwa muhuri wa udikteta akaanguka, jina la Jezebel linaanza kupata umaarufu taratibu hiyo ni ishara mbaya

Kuandamana bila kikomo ni ugaidi? Halafu kupinga matokeo ndio maana tunataka katiba mpya kwasababu nyie mnaiba kura na hamshtakiwi kwa kuiba kura
Tatizo hata hizo mahakama zenyewe mnazotaka waiba kura washtakiwe mmeanza lini kuziamini?
 
Kwa hiyo inawezekana hata Sabaya anakandamizwa na mfumo mbovu wa mahakama zetu dhaifu......??
 
Kwahiyo gaidi alikamatwa akaachiwa akatoroka nchini akarudi rais akasema account zake zifunguliwe gaidi akaendelea kuwepo tu akafiwa na rais akamtumia salamu za rambirambi publicly?
 
Mheshimiwa Rais Yezebel?
 
Yezebela.
 
Watu waliotumia miaka 10 kumtukana fisadi Lowassa, hao hao wakamchukua agombee urais, wakamshafisha na kumdekia barabara leo hii wana uhalali gani na watu wakawaani wanapomtetea Gaidi? Mbowe anajua kosa lake, ila anawatumia nyumbu wake wamtetee na kulichafua taifa. Kiufupi CDM na Mkiti wao ndiyo adui namba moja wa Taifa hili, wapotezwe. Magufuli aliliona hilo mapema sana
 
Kazi ya CDM ni kuwatetea na kuwadekia barabara magaidi na mafisadi wa nchi hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…